Najutia kupata Mke kupitia Facebook.

Najutia kupata Mke kupitia Facebook.

Bora amestuka,, hajachelewa sana bado
Kashachelewa hilo bomu ni lake hapo akili kichwani atajua mwenyewe jinsi ya kuishi nalo, angeshtuka kabla ingekua afadhari Ila ukishapigwa pingu umeisha ni wa kwako huyo ishi nae hivyo hivyo mvumilie ni wako umemchagua mwenyewe hakuna aliekuchagulia huyo
✍️
 
Kataaa ndoa ndoa ni utapeli kama utapeli mwingine
 
Mnamo mwaka X weds nakumbuka nilibahatika kukutana na huyu bint uso kwa uso katika Phase flan katika kutafuta maisha.
Tulipoteana tena kama baada ya mwaka mmoja bila kutongozana kuzoeana wala bila kuongea neno lolote.
Dada huyu alikuwa mzuri kwa Sura na rangi nzuri.
Maisha kusonga tukiwa tumepoteana niko kwa online Facebook ndipo nikamuona tena akiwa na rangi yake nzuri mcheshi kwenye picha dah.
Kutokana na usingle wangu wakitambo nikamtongoza Facebook bhanaa nika mpa ahadi kuwa lazima nitakuoa.
Mwamba nikapata vijicent vyangu vya mahari nikaenda kwao chap nikavuta chombo ndani.
Yaani bila kukaa kwa uchumba live pasipo hata miezi 3.
Ndugu yenu ninayo pitia kwa sasa heeh.
Nikiorodhesha naweza msimalizie hii thread.
Sasa Age 40+ Sijui dah acha tuone

Si umwache🙄🙄
 
Hiyo inatokana kule Facebook kuna makundi ya watafuta ndoa 😂watu wanapelekana tu wanajifanya kila kitu online ndo matokeo yake.
Na kweli alikua ni kundi la watafuta ndoa....make ile siku ya harusi alikata mauno hadi wazee wakainamisha vichwa, yule bi harusi sio wa mchezo mchezo kwakweli.

Baada ya ndoa kufa wakarudi fesibuku na mmewe sasa kuchambana kurushiana madongo
 
Ndoa facebooker!.....Mshenga zuckerberg!....mlaumu Mshenga aliekupa mke mfesibuku!
 
Na kweli alikua ni kundi la watafuta ndoa....make ile siku ya harusi alikata mauno hadi wazee wakainamisha vichwa, yule bi harusi sio wa mchezo mchezo kwakweli.

Baada ya ndoa kufa wakarudi fesibuku na mmewe sasa kuchambana kurushiana madongo
Ila demu alitoa nursing ya kuto olewa
 
Mzee huyo ni wako wewe ishi nae tu Ila asikupige matukio aliyopigwa Nikki wa Pili tu ukaanza kulea watoto ambao sio wa kwako
✍️
Unaishi vipi na kahaba ndani? Alipige chini tu.
 
Ni sawa na kununua simu mtaani kariakoo iliyopo ndani ya box na ukalipia bila kufungua box. Unaweza kuta ni simu kweli ila sasa.

Ulioa haraka sana. Shida sio FB, shida ni hukujua unaoa nani.
 
Na kweli alikua ni kundi la watafuta ndoa....make ile siku ya harusi alikata mauno hadi wazee wakainamisha vichwa, yule bi harusi sio wa mchezo mchezo kwakweli.

Baada ya ndoa kufa wakarudi fesibuku na mmewe sasa kuchambana kurushiana madongo
Nimechekaaa, kuna ndoa nyingine wiki mbili haijamaliza, bi harusi kachochora....kuulizwa anasema mume anataka kuingilia mlango wa uwani tu, mlango wa mbele haelewi🤣🤣
 
Back
Top Bottom