Najutia kupata Mke kupitia Facebook.


Pole Sana Mkuu...Tatizo ni Facebook au Tabia Mbovu za huyo Dada? Mbona Wengi wapo Facebook na ndoa zao zinaenda fresh?

 
We acha uboya usilazimishe nyota piga chini mara moja ndoa ni furaha amani na utulivu wa mwoyo vikitoweka ndoa inakua aina maana, hata asinge kua wa fb hao viumbe ndo walivo.
 
We acha uboya usilazimishe nyota piga chini mara moja ndoa ni furaha amani na utulivu wa mwoyo vikitoweka ndoa inakua aina maana, hata asinge kua wa fb hao viumbe ndo walivo.
Ndo niko njiani kichukua Usingle
 
Unaniangusha Officer unakimbizaje kuku mweusi gizani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…