Kashachelewa hilo bomu ni lake hapo akili kichwani atajua mwenyewe jinsi ya kuishi nalo, angeshtuka kabla ingekua afadhari Ila ukishapigwa pingu umeisha ni wa kwako huyo ishi nae hivyo hivyo mvumilie ni wako umemchagua mwenyewe hakuna aliekuchagulia huyoBora amestuka,, hajachelewa sana bado
Mzee huyo ni wako wewe ishi nae tu Ila asikupige matukio aliyopigwa Nikki wa Pili tu ukaanza kulea watoto ambao sio wa kwakoWakuu sio poa
Mnamo mwaka X weds nakumbuka nilibahatika kukutana na huyu bint uso kwa uso katika Phase flan katika kutafuta maisha.
Tulipoteana tena kama baada ya mwaka mmoja bila kutongozana kuzoeana wala bila kuongea neno lolote.
Dada huyu alikuwa mzuri kwa Sura na rangi nzuri.
Maisha kusonga tukiwa tumepoteana niko kwa online Facebook ndipo nikamuona tena akiwa na rangi yake nzuri mcheshi kwenye picha dah.
Kutokana na usingle wangu wakitambo nikamtongoza Facebook bhanaa nika mpa ahadi kuwa lazima nitakuoa.
Mwamba nikapata vijicent vyangu vya mahari nikaenda kwao chap nikavuta chombo ndani.
Yaani bila kukaa kwa uchumba live pasipo hata miezi 3.
Ndugu yenu ninayo pitia kwa sasa heeh.
Nikiorodhesha naweza msimalizie hii thread.
Sasa Age 40+ Sijui dah acha tuone
MuhimSi umwache🙄🙄
Mimi tena?? 🤣🤣🤣Ahahahahh watu wa Facebook mna mambo
Si wanahimizwa vijana wao haraka siku hizisasa kwanini uliamua kumuoa haraka??
Na kweli alikua ni kundi la watafuta ndoa....make ile siku ya harusi alikata mauno hadi wazee wakainamisha vichwa, yule bi harusi sio wa mchezo mchezo kwakweli.Hiyo inatokana kule Facebook kuna makundi ya watafuta ndoa 😂watu wanapelekana tu wanajifanya kila kitu online ndo matokeo yake.
sio poa vipi? ndoa ya kukutana kwenye facebook kwa kweli siyo ndoa na wala sitomshauri mwanangu au yo yote yule kufanya hivyo.Wakuu sio poa
Week sasa silalisio poa vipi? ndoa ya kukutana kwenye facebook kwa kweli siyo ndoa na wala sitomshauri mwanangu au yo yote yule kufanya hivyo.
Wewe si zao la fb?Mimi tena?? 🤣🤣🤣
Ila demu alitoa nursing ya kuto olewaNa kweli alikua ni kundi la watafuta ndoa....make ile siku ya harusi alikata mauno hadi wazee wakainamisha vichwa, yule bi harusi sio wa mchezo mchezo kwakweli.
Baada ya ndoa kufa wakarudi fesibuku na mmewe sasa kuchambana kurushiana madongo
Pole mkuu.Kiherehere na kukurupuka kwangu leo kunaweza nipa Presha na Msongo wa mawazo na hata kuwa Maskini tena.
Maana Now 8Yrs
Unaishi vipi na kahaba ndani? Alipige chini tu.Mzee huyo ni wako wewe ishi nae tu Ila asikupige matukio aliyopigwa Nikki wa Pili tu ukaanza kulea watoto ambao sio wa kwako
✍️
Hapo akili kichwani mwake atajua ananyoa au anasukaUnaishi vipi na kahaba ndani? Alipige chini tu.
Kichwa chako 🤣🤣🤣Wewe si zao la fb?
Basi sawaKichwa chako 🤣🤣🤣
Nimechekaaa, kuna ndoa nyingine wiki mbili haijamaliza, bi harusi kachochora....kuulizwa anasema mume anataka kuingilia mlango wa uwani tu, mlango wa mbele haelewi🤣🤣Na kweli alikua ni kundi la watafuta ndoa....make ile siku ya harusi alikata mauno hadi wazee wakainamisha vichwa, yule bi harusi sio wa mchezo mchezo kwakweli.
Baada ya ndoa kufa wakarudi fesibuku na mmewe sasa kuchambana kurushiana madongo