Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hata mzembe mwezio kitaa huku anasema hivyohivyo. Mabaharia tunamwangalia huku tukicheka nhinhinhi...ahahaha,,,,,mimi sio mzembe kiasi cha kufikirika hivyo. They are my kids.
Wanawake wasike redioni tu. Hao watoto ukute kuna wazembe wenzio wanatamba kama unavyotamba. Afu mwenye mtoto anakula tozo zako kupitia fao la uhamisho wa miamala....