Hata mzembe mwezio kitaa huku anasema hivyohivyo. Mabaharia tunamwangalia huku tukicheka nhinhinhi...ahahaha,,,,,mimi sio mzembe kiasi cha kufikirika hivyo. They are my kids.
Yani mjumbe anakuingiza chaka eti kazaa na wake za watu watatu... Jamaa linauziwa kibudu kwenye kirobaKivipi mwanawane
Siwezi kurudi kwenye mada kabla sikakutoa tongotongo machoniUmesikika,,rudi kwenye mada
Na watoto wamemwachia 🤣🤣🤣Dah balaaa hili. Yaani wote wake za watu na wamewaacha watoto zao. Kweli hao wanawake ni akili ndogo
mimi ninao wa4 kila mmmoja na mama yake-na sijawahi jutiaNamshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi.
Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?
Fanya uamuzi wa kumchukua mmja wa hao uliozaa nao, upunguze watoto wapliozaliwa nje ya ndoa.Namshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi.
Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?