Najutia tukio hili: Sikuweza kumsaidia rafiki yangu akajinyonga

Ninajua sikumuua lakini najilaumu kutomzuia ,najisemesha laiti ningefanya hivi au vile.
Alikueleza kwa nini anataka kujiua na nini ulimshauri hadi uhisi hukutimiza wajibu wako. Isije kuwa nae alikuwa hashauriki halafu unaumia tu bila sababu.
Pole mkuu.

Je, na wewe unapata wazo la kujiua?

Kama ndio, hilo wazo linakuijia wakati gani? kwamba, katika starehe zako, unatumia kiburudisho/kilevi gani?

Kwakuwa tunaogopa tusikupoteze, jitahidi kuachana na vitu vinavyo kuchanganya akili; maeneo mliyokuwa mkikutana na huyo mwendazake. Pia pata ushauri wa wataalamu e.g. wazee au psychologist.

KUMBUKA KUTULETEA MREJESHO KAMA HUJAFA
 
Thanks mkuu,nimeshafanya hivyo bado sina raha.Kuna kitu sijakiandika ndio kinachoniuma zaidi!
Sasa huu si unafiki, yaani hujui nini kinachokuumiza, lakini kuna kitu hujajiandika ndio kinachokuumiza zaidi. Akili za kijinga hizi. Za kipumbavu kabisa.
 
Eti na jambo linalomuumiza zaidi Ila hajaliandika, halafu anasema anajuta kwa asichokifahamu. Kinyeo kabisa yaani.
 
Hongera kwa kupanda ndege!!
 
Hapa ina cha kujibu mbele ya Haki. Jiandae.
 
Hapana sina wazo la kujiua najisikia vibaya tu.
 
Kuna mmoja alikuja hapa jf kuomba ushauri..watu wakamponda Sana..wengine wakasema awaelekeze alipo wampelekee kamba..I see jamaa akajinyonga kweli..
Lakini wote waliondika huo ujinga waliomba msamaha yakaisha..
 
Kuna mmoja alikuja hapa jf kuomba ushauri..watu wakamponda Sana..wengine wakasema awaelekeze alipo wampelekee kamba..I see jamaa akajinyonga kweli..
Lakini wote waliondika huo ujinga waliomba msamaha yakaisha..
Walimuomba nani msamaha?
 
Pole mkuu na kumbukumbu zikutiazo gerezani. Nakuona wewe pia ukipata depression ambayo usipochukua hatua ya kuona watabibu hasa washauri nasihi hali ya kujiua inaweza kukunyemelea. Acha kuwaza mwenyewe..nenda katibiwe kwa matabibu wa afya ya akili.
 
Kivipi?
 
Kuna watu mna nyoyo za kipekee aisee. Yaani uje kwangu tunazungumza halafu unambie unataka kujiua, mimi na akili yangu nikae chini nipoteze muda kujua kinachosababisha ujiue! Kwangu mimi ni big No

Unataka kujiua, wewe jiue tu na useme utakapojiulia tusihangaike kukutafuta.
 
Pole mkuu na kumbukumbu zikutiazo gerezani. Nakuona wewe pia ukipata depression ambayo usipochukua hatua ya kuona watabibu hasa washauri nasihi hali ya kujiua inaweza kukunyemelea. Acha kuwaza mwenyewe..nenda katibiwe kwa matabibu wa afya ya akili.
Asante mkuu kwa kunifariji.
 
mkuu we amin nlokujuza hapoa awali, ka hutaka amini hayo nlokujuza hutaka uwe na amani daima mpaka nawe utaiacha hii dunia.
kuna wenye majibu yao
kuna wasio jua la kufanya
kuna wenye kutaka mtu wa kumsarport alichokiwaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…