Nicky82
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 941
- 66
Nakaaya amefanya kile ambacho yeye anakiona ni sahihi kwake kukifanya. Anajua sababu ya kufikia uamuzi huo.
Ila ni wazi kuwa heshima yake aliyokuwa nayo mbele ya vijana wenzake na hasa wapenzi wa muziki wake ya kuonekana ni moja kati ya wanaharakati itashuka kwani kwa hili wengi watamwona msaliti na mtu anayesema kile ambacho yeye mwenyewe hawezi kufanya. Uchaguzi ukiisha huenda ndo ukwa mwisho wa Nakaaya kwenye muziki kwani itamchukua muda sana kujenga "trust" tena kwa mashabiki wake.
Ila ni wazi kuwa heshima yake aliyokuwa nayo mbele ya vijana wenzake na hasa wapenzi wa muziki wake ya kuonekana ni moja kati ya wanaharakati itashuka kwani kwa hili wengi watamwona msaliti na mtu anayesema kile ambacho yeye mwenyewe hawezi kufanya. Uchaguzi ukiisha huenda ndo ukwa mwisho wa Nakaaya kwenye muziki kwani itamchukua muda sana kujenga "trust" tena kwa mashabiki wake.