Nakaribia kuchepuka

Nothing4good

Senior Member
Joined
Feb 19, 2011
Posts
180
Reaction score
55
Wakuu nadhani shetani yupo kazini, mzee wangu. Anafanya kazi mkoani mimi nipo mkoa mwingine anakuja mara moja au 2 kwa mwezi.

Tuna miaka 18 katika ndoa sijawahi kuchepuka, mwanzoni nilikuwa natongozwa nakataa hapo hapo, ikafikia muda nikitongozwa nakubali ila nawapotezea mpaka wanakata tamaa.

Ikafikia hatua nakubali na naanza safari ya kwenda lodge ila nikifika tu njiani naghairi narudi kwangu, sasa naona kuna kishawishi kinaniambia niwe naenda kabsa nichepuke mara 1 nione inakuaje. Sasa kuna mchepuko anataka kunitoa outing Jumapili, nawaza sijui nimkubalie tu nione vya nje au?
 
Inakuwaje? Utaingiziwa (ndani, nje, ndani, nje... kwa dakika kadhaa) tu kama ambavyo umekuwa ukiingiziwa kwa miaka 18. Ila itakuwa ni usaliti na dhambi. Na hautakuwa na amani tena moyoni mwako hata usipofumaniwa.
 
Wakikupata watakupiga mbele nyuma think twice........
Miaka 18 kwenye ndoa ushakuwa zee tena zee la nyeti CHEPUKA TU.

JUVENTUS
Inakuwaje? Utaingiziwa tu kama ambavyo umekuwa ukiingiziwa kwa miaka 18. Ila itakuwa ni usaliti na dhambi.
kama umeweza kaa 18yrs bila kuchepuka endelea kutulizana mungu kakuepusha na mengi.
Kumekucha....
Unakaribia au teyari vimeumana?
Khaaaa....
Sasa nini kinakuzuwia..??[emoji41]
We wape tu wakupelekeee moto
Mtoa maada anasema ndoa yake Ina miaka 18..nikaamua kwenda kwenye thread zake za nyuma alizoanzisha....nikakuta machai ya kutosha...ebu nisiwamalizie stori nendeni na nyie kufukua kaburi mshangae...2011 alikuwa akitafuta mpenzi,kipindi hiko alikuwa na miaka 23...mpk Leo Ni miaka 10..ila anakwambia ndoa yake Ina 18....
Jf Ni ulimwengu mwingine kwakweli tuendelee kubanana lakini maana HAKUNA namna
 
mbaya zaidi unakuta ni dume ndo limeandika. chai kwanzia story mpaka jinsia.
 
Sipatii picha una upwiru wa kufa mtu halafu ukutane na me ako na borlo la size yako akikuingizia anakukuna minyegge yako yoote anaivurugua kiasi ukitoka hapo qumma inabaki inapwita tu ova inapumua, si wajua vile maku inafanyaga kupwita pwita kwa mtindo wa kutoa shukrani
 
Tangazo tu hili kama matangazo mengine...

Wazee wa dead balls kazi kwenu, ila msije pia kutana na 'mchele mchele' mtafunwa 'uwemba'
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anajidanganya yeye mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…