Nakaribia Kujiuzuru rasmi Kuizungumzia Simba SC yangu kwa Nguvu zangu zote hapa JamiiForums, kwani imeshanichosha sasa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi Mo Dewji unafanya nini Simba SC Kwetu hadi hii leo? au unangojea tufungwe 7-0 Wiki ijayo na Yanga SC ili tukutoe kwa Vipigo ( vya Vichwa, Ngumi na Mateke ) ndiyo utujue kuwa tupo wana Simba SC tuliovurugwa na tunaopenda Vita na tunaviweza kama vile M23 na walivyonifuahisha hivi majuzi mahala fulani?
 
Soka la bongo linawenyewe, nafikiri ni wakati sahihi wa wewe kujikita kwenye punyeto sasa au unasemaje mkuu!!?? 😎
 
Hatimae umetema bungo lilikuwa suala la muda, sasa karibu kiumeni yanga Afrika, huku timu inatupa raha kama za nyeto😎
Siwezi kupoteza muda wangu Kuipambania Timu ambayo Wachezaji wake wote hawajitoi Uwanjani hadi waone Fedha.
 
ni kujiuzulu sio kujiuzuru,lakini ni vizuri kuwa mvumilivu
 
πŸ™„...... habari za asubuh???
 
Pole sn, ni kweli simba inaumiza sn lkn ndo mpira kuna kupanda na kushuka. Hpo tu timu ijipange kwa msimu ujao
 
Kwani nje ya Simba na Yanga timu zingine hazina haki ya kupata matokeo ya alama 3? Inasikitisha kwani hamuwezi kuanza upya kama wengine mfano barca. Ma um Chelsea. Na mkaja kujipata kama liver. Arsenal. City. Villa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…