Nakaribia kununua pikipiki kampuni gani nzuri kwa mishe za mtaani?

Nakaribia kununua pikipiki kampuni gani nzuri kwa mishe za mtaani?

Namkubali sana mhindi kwenye pikipiki skymark community ni nzuri sana ila
 
Chukua TVS 150X
Hii machine ninayo mwaka wa pili umeisha mi nabadili oil tu na ku adjust chain na nipo kijijini.
Tena usichukue kwa mtu nenda shop kamenye mpya hata Kama mkwanja wako hautoshi fanya kujichanga hadi zitakapotosha ku shop.

Achana na pikipiki za china yanakula mafuta, vibration hadi matako utasema ymepigwa shot ya umeme, pia mafupi Kama umekalia kigoda.
 
Nunua Triumph Rocket bro maana ni kiboko na ina speed ya ajabu. Hii hata akhera (kwa mungu) inakufikisha kwa bure kabisa.

View attachment 1979676
b50a1250-5059-4304-85d6-7c76f6b62d9e.jpeg
 
Chukua TVS 150X
Hii machine ninayo mwaka wa pili umeisha mi nabadili oil tu na ku adjust chain na nipo kijijini.
Tena usichukue kwa mtu nenda shop kamenye mpya hata Kama mkwanja wako hautoshi fanya kujichanga hadi zitakapotosha ku shop.

Achana na pikipiki za china yanakula mafuta, vibration hadi matako utasema ymepigwa shot ya umeme, pia mafupi Kama umekalia kigoda.
Bei Gani mkuu
 
Kuna pikipiki zinataka kuwa na muundo kama hizo cc 125 kwa 150 unaweza kujua zinapatikana wapi? Na bei zake zipoje nazikubali sana kuzurulia hapo kwa kina mwajuma n'chokonoe
Kama ya kichina haojue pia anayo
 
Chukua TVS 150X
Hii machine ninayo mwaka wa pili umeisha mi nabadili oil tu na ku adjust chain na nipo kijijini.
Tena usichukue kwa mtu nenda shop kamenye mpya hata Kama mkwanja wako hautoshi fanya kujichanga hadi zitakapotosha ku shop.

Achana na pikipiki za china yanakula mafuta, vibration hadi matako utasema ymepigwa shot ya umeme, pia mafupi Kama umekalia kigoda.
Mkuu tvs bei gani shop
 
Nipo vijijini, nimemaliza chuo 2018 ualimu nilisota mwaka 1 nimesaidia fundi beba zege gafla nikapata mchongo private japo salary inasua sua Lakin nashukuru Mungu

Mwaka huu nikajiongeza na kamera na wakala free Lansa wa laini vijijini siku za wikiend

Kutokana na mizunguko yangu natumia Baiskeli nashindwa kuvifikia vijiji Vinginevyo ambavyo Kuna soko la picha pia

Nimeona bora nikusanye pesa ninunue pikipiki ili niongezee ufanisi kwenye harakati zangu wikiend
Nb kila wikiend vijiji viwili naingia 70000 lakini pia nafuga ngurue wa kisasa ili kuongeza pesa

Tafadhali pikipiki imara ni kampuni gani.
Mkuu kama ni mishe za kijijini chukua huojue au sinoray 125
 
Back
Top Bottom