Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Mkuu niliwahi kusikia kuna dawa za kupunguza excessive under arm sweating, kuna ukweli? kama ni kweli ni dawa gani? Au unashauri nini?

Ni excessive ambayo haiwezi kuzuiwa na deodorants, na hakuna harufu yoyote, haichagui baridi wala joto
 
hapo tumekwenda sawa mumie thanks.
inapendeza kuona mtandaoni tunaweka mijadala kama hii inatufanya tupate elimu ya kutosha kwa njia bora zaid
 
Mkuu niliwahi kusikia kuna dawa za kupunguza excessive under arm sweating, kuna ukweli?kama ni kweli ni dawa gani? Au unashauri nini? Ni excessive ambayo haiwezi kuzuiwa na deodorants, na hakuna harufu yoyote, haichagui baridi wala joto
Ndio kuna deodorants zenye aluminium chloride(AlCl[SUB]3[/SUB]).Jaribu kutafuta hio utumie au njia nyingine ni sindano za botox!!
 
Sindano za botox zna side effects zipi? Zinapatikana pharmacy za hapa hapa Tanzania?
 
Fahari kwa JF !!
Dr. gorgeousmimi thankful kwa kujitolea, Niepuke na vyakula/dawa gani zinazoweza trigger uvimbi (tumor) sehemu mbalimbali au popote !!
Ubarikiwe..
 
Last edited by a moderator:
Reactions: bbc

maadili na uweledi wa kitaaluma!#10000000LIKES
 
Dawa ya mba kwenye nywele ni ipi???
suleyman100 mba kwa lugha ya kitaalam ni seborroheic dermatittis inasababisha na fungi(malassezia furfur) tulokuwa nao mwili wakioverproduce.

Tiba inayotumika na wengi ni salisylicacid oil 2-5%.

Unapaka hayo mafuta kwa muda kisha unatumia kitana kukwangua mba.Au unaweza kutumia anti-fungal shampoo kama (ketoconazale shampoo au selensulphide shampoo).
 
Je? kuna dawa gani inayoweza kutibu vijipele kama vichunusi katika ngozi? zaidi ya ampiclox au kuna dawa gani mbadala wa grisiofulvin?(ya fungus)?
 
Fahari kwa JF !!
Dr. gorgeousmimi thankful kwa kujitolea, Niepuke na vyakula/dawa gani zinazoweza trigger uvimbi (tumor) sehemu mbalimbali au popote !!
Ubarikiwe..

Tumor ni mass of tissue,which may be solid or fluid filled.Tumor inaweza kuwa na cancer au bila cancer.Tumor zinatokea cells za mwili zikiwa zinakuwa na kujigawanya bila mpangilio.Kama kuna unbalance kwenye cell growth au matatizo kwenye immune system.
Vitu vinavyoweza kusababisha tumor ni:

  1. Benzene and other chemicals and toxins
  2. Drinking too much alcohol
  3. Environmental toxins, such as certain poisonous mushrooms and a type of poison that can grow on peanut plants (aflatoxins)
  4. Excessive sunlight exposure
  5. Genetic problems
  6. Obesity
  7. Radiation exposure
  8. Viruses
Types of tumors known to be caused by viruses are:

  • (human papillomavirus)
  • (hepatitis B and hepatitis C viruses)
 
gorgeousmimi

Ni nini tiba ya tatizo la kinywa kutoa harufu? Mswaki unatumia kila baada ya chakula, lakini ndani ya muda mfupi kinywa hutoa harufu kali.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu georgeousmimi mbona haunijibu swali langu? Naomba unijibu Tafadhari
 
Dr. Nin dawa ya kuondoa makovu ya moto,mdogo wang aliungua moto usoni yapata miaka 12 iliyopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…