kassim kimoby
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 588
- 463
Shukran mkuuHellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana.
A
B
C
D
E
F
Dr
Mwanangu ana miaka 4 hv na miez 7,
Majuzj aliugua ikawa ikfka jion anachemka na analalamika tumbo,
tukampeleka hspital alvyopimwa haja, na mkojo akakutwa ana wadudu tumbon waliwataja jina sikmbuk vzur jina la hao bakteria,
akapewa fragil na akaandikiwa sindano 5 amemalza,
alkuwa analalamika tumbo saiz haihs maumivu yyte ila ikifka jion anachemka sana ukmuulza nn knauma anasema hamna kitu. akipewa panadol anarecover baada ya muda tena usku anachemka
kapimwa malaria hana
Msaada wako Dr atumie dawa gan hapa maana duh!! huu mwendo panado kila muda sio inshu
Habari doctor na Wana ajf Mimi ni mwanamama wa miaka 27 ...toka mwezi wa tatu nikianza kupata tatizo la kuumwa na kifua eneo la katikati ya maziwa baaada ya kwenda hospital nikafanyiwa uchunguzi wa vidonda vya tumbo lakini havikuonekana baaadae nikaaanza kupata shida ya upumuaji kwa muda Sasa hivi limezuka tatizo la maumivu makali Sana upande wa kushoto wa kifua mpaka mkono wote wa kushoto unauma na wakati mwengine maumivu yanakuja mpaka bega la kulia kwa nyuma nishafanya vipimo vya moyo Kama ECG na ECO hospital karibu tatu kubwa morogoro lakini moyo inaonesha hauna shida ...madactar wakanipa rufaa kuja muhimbili huku Napo nikafanyiwa ECO lakini haikuonesha Kama ninashida nikafanya kipimo Cha mapafu na hpylol na full blood count lakin bado havioneshi Kama Nina tatizo......napata maumivu makali Sana na nimekosea muelekeo naomba kujua ili nitatizo gani na ipi tiba ya maradhi haya...asante
kupimani sh ngap boss?Macho yamekufa huoni mbali inawezekana ni tatizo la Lens za macho au pia inawezekana kuna shida kwenye part nyingine ya macho ili kupata majibu sahihi nenda Hospital utafanyiwa Test mbalimbali kama uwezo wako wa kutambua herufi na kusoma maneno flani kwa umbali flani then utapewa MIWANI inayokustahili.
Kupima sehemu kama Muhimbili ni 20k sijuii sehemu nyingine lakini sio bei kubwa mkuu..!! Refraction test..kupimani sh ngap boss?
Barikiwa...Ni siku 14 Kidonge kimoja cha 200MG kila siku
Dr napenda kujua kiafya punyeto ina madhara gan
G:Hellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana.
A
B
C
D
E
F
Atafute ki tyube kinaitwa Podoso,au aende kwa daktari atamwandikia dawa itakayomfaahabarini wadau natafuta dawa ya genital whatts na ndugu yangu yupo kijijini kazipata zinamtesa sana
mawazo mgando usije sema ni mimi
Dokta nieleze hizi dawa za kuongeza unene zinafanya kazi kweli. APETAMINView attachment 1412325
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunuka mdomo inawezekana Huswaki vizuri mkuu..!! Lakini pia tatizo hilo huletwa na kula viti kama vitu ambavyo vikiharibika hutoa hiyo harufu. Lakini hali hii Mara chache sana hasa kwa Watoto hutokana na KUPATA HOMAA KALII SANAA.. Piga mswaki sana mkuu tafuta dawa inaitwa Sensodyn itakusaidia zaidiNaomba dawa ya halitosis mkuu
Maumivu kohoni inategemean yamesababishwa na nini??? Inaweza kuwa infection ya koo au sababu ya Acid kupanda sana kooni na kuleta kiungulia bhasi huunguza koo na kuleta hii shida. So kujua chanzo chake ndo inakuwa njia rahisi ya kutibu. Mama mjamzito hatakiwi kunywa dawa ovyooSamahani wadau ivi mama mjamzito akipata shida ya maumivu kohoni kuna sindano anapewa ili vikauke
Nini tiba ya vidonda mdomoni haswa ktk ulimi
UISNYWEE DAWA NA POMBEEEE...!! acha kabisaa kwani huwezi kuacha ulevi mpaka upone mkuu??? Utapata matatizo mengine yasiyo ya lazimaa. Pia kama una mpango wa kubebesha mimba mtu Griseovulvin sio dawa nzuri kutumia kwa mwanaume.G:
Naomba Kujua kama dawa hii 'Griseofulvin' kama inamadhara Ukiwa kwenye Dozi na Unatumia Kilevi.