Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una tatizo linaloitwa CREPTIUS.Ni ugonjwa unaosababishwa na sauti zinazotoka kutoka ndani ya ngozi /kati ya viungio viya mifupa/tissues kutokana na mgusano/msuguano hii inaweza kusababishwa na uwepo wa hewa kwenye subuctaneous tissue.tafadhal dokta nisaidie
Tatizo la kisaikolojia linahitaji msaada kutoka kwa mwanasaikolojia la therapy sessions.Huo ndo ushauri wangu wa mwanzo.Je, kuna vyakula au vinywaji vinavyosaidia katika suala la saikolojia?? Nmekuwa na tatizo la kisaikolojia ambalo nimeshindwa kulitawala, kama kuna dawa au ushauri au matibabu yoyote kwa tatizo langu nifahamishe niliweke wazi.
Epuka kuwepo kwenye maeneo yenye vijidudu kama kwenye majani.Tiba unayoweza kupewa ni pale tu unapongatwa kupunguza inflammation na hii inatokana na reaction unayoipata.Kama ni muwasho tu prednisolon itasaidia.Dr. Niking'atwa na mdudu yeyote kama mbu,kiroboto huwa nawashwa sana na hospital wameshindwa kunipa tiba sahihi. Je tatizo nini hapa.
Unatumia nini kujinyolea?Ngoz yangu inavipele ambavyo haviwashi. viupele hivyo vina hali ya mkwaruzo na ukavu. vipo kwenye matundu ya vinyweleo. tatizo nimeanza kuliona nlipokuwa bado mdogo. nisaidie matibabu
unatumia nini kujinyolea?
ok...una atopic eczema/dermatitis.Huu ugonjwa unawapata sana watoto lakini hata na wakubwa pia.Inachochewa na matumizi ya sabuni zenye perfumes, hali ya hewa,vyakula n.k In general naweza kusema ngozi ipo sensitive to allergens.hali hiyo ipo mwili mzima.
ok...una atopic eczema/dermatitis.huu ugonjwa unawapata sana watoto lakini hata na wakubwa pia.inachochewa na matumizi ya sabuni zenye perfumes,hali ya hewa,vyakula n.k in general naweza kusema ngozi ipo sensitive to allergens.dawa zinazoweza kutumika ni topical corticosteroids ointments mfano betnovat cream au flutivate cream.ni muhimu pia umaintain mwili kwa kuepuka kutumia ointment/cream nzuri isio na perfumes,parabens,ambayo ni skin friendly.na usitumie sabuni kali za kufulia na kuogea.wanasemaga pia ukioga kwenye maji ya chumvi inasaidia .nenda kaogelee baharini mara kwa mara.
Vaa pia nguo za cotton zaidi...okey. Ngoja nizitadute hizo. Asante
Hakuna tiba ya kigugumizi mkuu ila nimeona therapy sessions zikitumika ili kusaidia watu wanaopatwa na kigugumizi mfano jinsi ya kupumua ukiongea,uchukue mapumziko baada ya muda gani n.kDr naomba ushaur au hata tiba ya kigugumizi maana nna mdogo wangu anateseka kwel
Una tatizo linaloitwa CREPTIUS.Ni ugonjwa unaosababishwa na sauti zinazotoka kutoka ndani ya ngozi /kati ya viungio viya mifupa/tissues kutokana na mgusano/msuguano hii inaweza kusababishwa na uwepo wa hewa kwenye subuctaneous tissue. Since tatizo lako unalisikia kutoka ndani ya mwili mapafu/mbavu nina suspect Soft tissue creptius na linaweza kuwa life threatning na inatokana na infections n.kNakushauri ukaonane na daktari usijekuwa unachanganya crackling/subcutaneous creptius na wheezing sound kutoka kwenye mapafu.Although inasemekana crackling sound inayosababishwa na creptius inasikia na naked ear.Kila la kheri mkuu
Kula vyakula vyenye protein za kutosha hasa karanga.Vyakula havisaidii wewe kumimbisha mtu bali ni uimara wa mbegu za kiume,idadi yake na quality.Dr naomba msaada wa tiba vyakula. Nile vyakula gani ili niweze kumbebesha mke wangu mimba. Imefikia wakati nataka kuzaa. Ahsante.
Nenda kwa daktari unahitaji nystatin.Unajuaje kama una fungus mdomoni?Iwapo mtu anasumbuliwa na fungus za mdomoni
Tiba ni aidha nitrofurantoin 50mg/trimetoprim 100mg/metanaminhippurat 1g.Nisaidie dawa ya u.t I sugu