Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
- Thread starter
- #741
Mkuu hosp ndio wanampatia tiba mtu aliyeungua,Ukipatwa na deep burning upasujani ni lazima ufanyike ili kujaribu kuliziba eneo liloungua,deep burning inasababisha layers zote za ngozi zinakuwa zimeungua.Naomba kujua ni tiba IPI nzuri kwa mtoto aliyeungua na maji ya moto Sana kwenye mguu wake. ( very deep Barning)
Good burn dressing na usafi wa eneo hilo pia ni muhimu huwa inatumika sana sterile vaseline compress ilikuzuia dressings kushikana na ngozi,na pia unaweza kupatiwa antibiotics ili kuepuka infection.
Inachukua muda mpaka eneo kupona na haliwezi kupona kama upasuaji haujafanyika.
