Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sanaa jee ana umri gani?Msaada dk ana mwezi vnamwasha akipaka dawa cnatulia
Tafuta dawa inayoitwa mnungu bashite na shomari kisha nitumie picture zake nikupe maelekezo namna ya kutumiaDK NA DAWA YA KUTOA SUMU IPI MAANA WENGINE TUMEACHA POMBE TUNATAKA KUVISSFISHA VIMELEA SUGU NDAN
NikizitakakwakokiaaiganTafuta dawa inayoitwa mnungu bashite na shomari kisha nitumie picture zake nikupe maelekezo namna ya kutumia
Alfu arobaini na tanoNikizitakakwakokiaaigan
Je master besheni inaweza kusababisha moyo kwenda mbio sana mikono na miguu inatetemeka sana kizunguzungu pressure Iko normal moyo uko vizuri nimepiga master besheni Kwa miaka saba je ni sababu iyoooAlfu arobaini na tano
Ndio yasababishaJe master besheni inaweza kusababisha moyo kwenda mbio sana mikono na miguu inatetemeka sana kizunguzungu pressure Iko normal moyo uko vizuri nimepiga master besheni Kwa miaka saba je ni sababu iyooo
Zipo dawa zake fika afisini kwetu ama wasiliana nami kuzipata 0656303019Doctor nimepimwa nikaambiwa na low testosterone nifanyaje??
Kwa shida hiyo fika afisini kwetu ama wasiliana nami 0656303019Naomba msaada wa tiba, nimepatwa na hali ya aibu, hali yenyewe ni kutosimamisha uume Na kukosa hamu ya tendo Nina muda wa miezi kadhaa sasa ila kwasasa angalau naweza kwa shida shida kidogo. Naomba unielekeze tiba ya hili tatizo.
Kama una elimu japo kidogo ya madawa, basi unaweza elewa ni kiasi gani hatari kukaa ama kulala sehemu iliyopulizwa dawa... Kuna dawa zinashambulia kwa mfumo wa hewa na nyingine ikifika kwenye ngozi tuJuzi nilispray ndan, dawa ya mbu rungu, Sasa nilipolala asubuh nilipoamka nilipata mafua makali na kichwa kilinigonga sana,
Mafua yamepona ila kichwa kinanigonga sana,hadi mishipa inatoka
Itakua kwasababu ya hiihii dawa au niliyo spray au ?