Nakasirika kila mara mke wangu ananiambia ananipenda. Kuna haja gani sasa?

Nakasirika kila mara mke wangu ananiambia ananipenda. Kuna haja gani sasa?

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Mke wangu kila dakika ananiambia ananipenda mpaka nakasirika.

Wataalamu kuna haja gani ya kila mara kumwambia mtu haya maneno. Mbaya zaidi ananilazimisha na mimi kila mara nimwambie maneno haya haya!

Aisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.
 
Hata mimi sipendi kuambiwa maneno marahisi ya aina hiyo i,e nakupenda,pole,samahani etc...nafikiri tuna tatizo mkuu
 
Back
Top Bottom