moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
😆😆😆sasa kwanini uwe mtu wakukasirika kila siku mkuuhe he he siyo big deal sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆sasa kwanini uwe mtu wakukasirika kila siku mkuuhe he he siyo big deal sana
Kuweni na kiasi hata kitu kizuri hakitakiwi kuwa too much😆😆😆sasa kwanini uwe mtu wakukasirika kila siku mkuu
mtoto wa kiume unajiita “Mtamu”Na ni hatari sana
Mara nyingi ukiona, tabia imekuja ghafla ujue kashaanza kuchepuka ndo vinajishtukiagaMimi mpenz wangu nae siku hizi ndio ameanza tabia hii, kila mda nakupenda mara nini sijui nini mpka naogopa au ndio staili mpya ya kuchepuka nini ili nisimstukue? Au ananiseti anipega hela maana skukuu karibuni tu hapa sielewi.
Shtuka....unaibiwa. overMke wangu kila dakika ananiambia ananipenda mpaka nakasirika.
Wataalamu kuna haja gani ya kila mara kumwambia mtu haya maneno. Mbaya zaidi ananilazimisha na mimi kila mara nimwambie maneno haya haya!
Aisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.
Dunia ngumu hii shida tupu hakuna jemaWanadam hivi Mungu awape nini? Ukipendwa shida usipo pendwa napo shida
nahisi kuna mavanga anaficha kwa kunipumbazaShtuka....unaibiwa. over
Jema likizidi shtukaDunia ngumu hii shida tupu hakuna jema
kwasiku mara 50 utaweza si unachokaKwani kumjibu tuu nami pia mama la mama kuna shida gani?
Naagiza na hili mkaliangaliesijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya
Subiri Upangwe wewe.Mke wangu kila dakika ananiambia ananipenda mpaka nakasirika.
Wataalamu kuna haja gani ya kila mara kumwambia mtu haya maneno. Mbaya zaidi ananilazimisha na mimi kila mara nimwambie maneno haya haya!
Aisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.