Mtafutie kazi ya kumpa ubize, kichwa kipo idle mkuu, yaani firiiiiMke wangu kila dakika ananiambia ananipenda mpaka nakasirika.
Wataalamu kuna haja gani ya kila mara kumwambia mtu haya maneno. Mbaya zaidi ananilazimisha na mimi kila mara nimwambie maneno haya haya!
Aisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.
JUKUMU LA KUPENDA NI LA MWANAUME, MWANAMKE NI KUTIIMke wangu kila dakika ananiambia ananipenda mpaka nakasirika.
Wataalamu kuna haja gani ya kila mara kumwambia mtu haya maneno. Mbaya zaidi ananilazimisha na mimi kila mara nimwambie maneno haya haya!
Aisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.
hela sina nampa nn sasa labda show
AnapendwaJUKUMU LA KUPENDA NI LA MWANAUME, MWANAMKE NI KUTII
(ACCORDING TO BIBLE)... WANAUME WAPENDENI WAKE ZENU.....
nimezoea ila siyo kaa hiviHujazoea kupendwa
mmh nyieBasi wakulungwa wanamla, kukupotezea ndo anajidai anakupenda usisome mazingira
😂😂😂Acha hizo hiyo ni sehemu ya mapenzi... Kama humpendi si waachie wenzio....mbona kugegeda huchoki?
Jamaa haelewi wanawake wanapenda sifa hata kama ana vijipu uchungu unamwambia mke wangu una shindu la kwenda yan hakuna wa kufanana nawe my sweet baby, darling, nyongo mkalia ini, mkuu unapungukiwa nini ukisema ivyo ?Na wewe mwambie hivyo hivyo nakupenda mama la mama my African queen, mke wa ndoto zangu
Wanawake ndio wanapenda kusikia hivyo
Avata yako imenisisimua, vinyweleo vimenisimamanakazia.
Kimeshanuka yaan wewe Si umeoa juzi TU hapo hata wiki huna ushaanza kujiliza ngoja wanapenda kumwambia hivyo na kuambiwa hivyo warushe kamba utaelewa somoAisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.
Unazungumzia vinyweleo vipi vya chini au vya juu?Avata yako imenisisimua, vinyweleo vimenisimama
VyoteUnazungumzia vinyweleo vipi vya chini au vya juu?
Hadi vya chini vimekusimamaVyote