Nakataa kata kata Yanga SC haina uwezo wa kumsajili Azizi Ki

Nakataa kata kata Yanga SC haina uwezo wa kumsajili Azizi Ki

Kwani hata akienda huko ulaya, Yanga itakufa? Au hata akisajiliwa atakuwa anacheza peke yake uwanjani?

Hata kama alitumika kwa ajili ya kampeni, shida iko wapi?
Mbona kama vile kauli zinaanza kubadilika! Wananchi tushike kauli moja ya rais wetu na msemaji wa timu. Rais alisema tumchague atamleta Aziz Ki, na msemaji akakazia kwa kusema Aziz Ki asiposaini Yanga mwaka huu, yeye ataacha kuwa msemaji wa wananchi
 
Mbona kama vile kauli zinaanza kubadilika! Wananchi tushike kauli moja ya rais wetu na msemaji wa timu. Rais alisema tumchague atamleta Aziz Ki, na msemaji akakazia kwa kusema Aziz Ki asiposaini Yanga mwaka huu, yeye ataacha kuwa msemaji wa wananchi
Enhee Unasemaje Sasa?
 
Back
Top Bottom