Huwezi kuwapangia, Jambo la muhimu ni kufanya uamuzi sahihi kipindi cha uchaguzi.Ni sawaa lkn kipindi hiki imekuwa to much mkuuu
Na inatakiwa kukemewaaa
Watu hawangaiki na shida za wananchi ,wanasifiaa hadi wanagaragara chini
Kwako hiyo ni sawaa mkuu
Suala la mfumo. Hata Nyerere jina lake limetajwa sana. Kikao chochote kabla ya kuanza na kuisha utasikia "zidumu fikra za mwenyekiti......" Kidogo Mkapa aliipunguza kasi hii, Kikwete akatembea nayo kasi ile ile alioiacha mkapa, sasa Magufuri ndio kaiongeza kivyake. Huyu anaesema wajibuni, kaendea na kasi ya Magufuri hasa ukizingatia aeamu ni ya 5 japo tunadanganyika awamu hii ni ya 6 sijui kutoka katiba ipi.Mbwa ukishamjua jina, hakupi tabu abadan.
Tatizo lipo kwa anaetajwa jina kila mara kuliko watajaji.
kwa mfumo huu wa ccm; hautachokwa, mana atakae acha ajue atalala njaa, hakuna teuzi.UCHAWA ulianza kama tabia na namna ya kujipendekeza, sasa uchawa umefikia kuwa ni utamaduni
itafikia wakati uchawa utachokwa ktk jamii
MWanajamvii Bwana yesu asifiwe!
Leo ni jumapili siku ya ibada sisi KKKT ni siku ya watoto wetuu (ni sikukuu yao) moja vitu vinanikereketa moyo wanguu ni hawa viongozi wa serikali hii inayojiita awamu ya sita wakati kiuhalisia ni ya Awamu ya tano ni kutumia muda mwingi kusema Samia, kila mahali Samia!
Tunajua fika yeye ndio aliyekuteua na Kiongozi wa serikali ni yeye kwa sasa. Hata dunia inajuaa yeye ndio mrithi wa kiti cha urais baada ya aliyekuwa kutwaliwa katoka maisha haya.
Sasa kwanini kutumia maneno yenye jina lake kwenye hotuba yako, kila ayaa wakati yapo mambo ya msingi ungweza kumuheshimisha aliyekuteua kwa kuzungumzaa?
Pia soma: Kuelekea 2025 - Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali
NIWAPE TAARIFA YA KUWA MNAMDHALILISHA HAMPATI TUU MTU WA KUWAAMBIA LKN HUO NDIO UKWELI
Shida ya Viongozi wa Awamu ya Tano wanapenda sanaa kusifiwaa huo ndio ukweli lakini nataka niwaambie muwe creative kukumsifia kitaalamu.
Kutaja Jina lake mara nyingi wala haimuwekii kuzuri mnaonekana vitukoo na kuonekana hamna creative skills (Lower minded).
Najua nitapata upinzani kutoka kwa machawa lkn huu ndio ukweli.
Cheki LOFA huyu! afiti vp wakati uwezo hana?Nawasihii wasaidizi wa Mama
Tafuteni mbinu ya kumuweka Mama kwenye nafasi ya Uraisi akaonekana anfiti
mnaweza mkaaza kuwa na public audience mkaeleza update na miradi
Inayoendeleaa ,iliyokwama na nini changamotoo ,way forward
Na serikali hii ya alisi ya awamu ya Tano
Bashe hawatakiwi kuwepo ndani ya serikali lazima mjue hili
Bashe yupo kimkakati
So Mama yetu President of URt please fair Hussen Bashe in your Government
Lawama zitakuchelesha fanya kazi binamu.Wanampa sifa za uongo ambazo haziendani na uhalisia wa hali iliyopo
Binamu yako nani Mkuu?Lawama zitakuchelesha fanya kazi binamu.
Mbona huoni shida wahubiri wakimtaja Yesu na mtume Mohamed kila wakati!Wanajamvii Bwana yesu asifiwe!
Leo ni jumapili siku ya ibada sisi KKKT ni siku ya watoto wetuu (ni sikukuu yao) moja vitu vinanikereketa moyo wanguu ni hawa viongozi wa serikali hii inayojiita awamu ya sita wakati kiuhalisia ni ya Awamu ya tano ni kutumia muda mwingi kusema Samia, kila mahali Samia!
Tunajua fika yeye ndio aliyekuteua na Kiongozi wa serikali ni yeye kwa sasa. Hata dunia inajuaa yeye ndio mrithi wa kiti cha urais baada ya aliyekuwa kutwaliwa katoka maisha haya.
Sasa kwanini kutumia maneno yenye jina lake kwenye hotuba yako, kila ayaa wakati yapo mambo ya msingi ungweza kumuheshimisha aliyekuteua kwa kuzungumzaa?
Pia soma: Kuelekea 2025 - Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali
NIWAPE TAARIFA YA KUWA MNAMDHALILISHA HAMPATI TUU MTU WA KUWAAMBIA LKN HUO NDIO UKWELI
Shida ya Viongozi wa Awamu ya Tano wanapenda sanaa kusifiwaa huo ndio ukweli lakini nataka niwaambie muwe creative kukumsifia kitaalamu.
Kutaja Jina lake mara nyingi wala haimuwekii kuzuri mnaonekana vitukoo na kuonekana hamna creative skills (Lower minded).
Najua nitapata upinzani kutoka kwa machawa lkn huu ndio ukweli.
Nilizani we ni Mwana FA mkuu, sorry kama umekwazika.Binamu yako nani Mkuu?