Nakerwa na Hotuba za Viongozi wa Serikali kwa kutumia muda mwingi kulitajataja jina la Samia wakati kuna vitu vya msingi vya kusemea

Nakerwa na Hotuba za Viongozi wa Serikali kwa kutumia muda mwingi kulitajataja jina la Samia wakati kuna vitu vya msingi vya kusemea

Ni sawaa lkn kipindi hiki imekuwa to much mkuuu

Na inatakiwa kukemewaaa

Watu hawangaiki na shida za wananchi ,wanasifiaa hadi wanagaragara chini

Kwako hiyo ni sawaa mkuu
Huwezi kuwapangia, Jambo la muhimu ni kufanya uamuzi sahihi kipindi cha uchaguzi.
 
Mbwa ukishamjua jina, hakupi tabu abadan.

Tatizo lipo kwa anaetajwa jina kila mara kuliko watajaji.
Suala la mfumo. Hata Nyerere jina lake limetajwa sana. Kikao chochote kabla ya kuanza na kuisha utasikia "zidumu fikra za mwenyekiti......" Kidogo Mkapa aliipunguza kasi hii, Kikwete akatembea nayo kasi ile ile alioiacha mkapa, sasa Magufuri ndio kaiongeza kivyake. Huyu anaesema wajibuni, kaendea na kasi ya Magufuri hasa ukizingatia aeamu ni ya 5 japo tunadanganyika awamu hii ni ya 6 sijui kutoka katiba ipi.
 
Kuna mdau mmoja alisema
"KILA MTU SASA HIVI ANASIFU KUHUSU SAMIA, IWE MIRADI BASI SAMIA NDO AMEFANYA, IWE NI UJENZI WA BARABARA NI SAMIA. JE WAKIJA KUONGEA NA WANANCHI WATAOMBA KURA KWA MSINGI UPI!?"
VIONGOZI WA TANZANIA HAWANA TOFAUTI NA WALKERS KWENYE THE WALKING DEAD.
 
Wanajamvii Bwana yesu asifiwe!
Leo ni jumapili siku ya ibada sisi KKKT ni siku ya watoto wetuu (ni sikukuu yao) moja vitu vinanikereketa moyo wanguu ni hawa viongozi wa serikali hii inayojiita awamu ya sita wakati kiuhalisia ni ya Awamu ya tano ni kutumia muda mwingi kusema Samia, kila mahali Samia!

Tunajua fika yeye ndio aliyekuteua na Kiongozi wa serikali ni yeye kwa sasa. Hata dunia inajuaa yeye ndio mrithi wa kiti cha urais baada ya aliyekuwa kutwaliwa katoka maisha haya.

Sasa kwanini kutumia maneno yenye jina lake kwenye hotuba yako, kila ayaa wakati yapo mambo ya msingi ungweza kumuheshimisha aliyekuteua kwa kuzungumzaa?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali

NIWAPE TAARIFA YA KUWA MNAMDHALILISHA HAMPATI TUU MTU WA KUWAAMBIA LKN HUO NDIO UKWELI

Shida ya Viongozi wa Awamu ya Tano wanapenda sanaa kusifiwaa huo ndio ukweli lakini nataka niwaambie muwe creative kukumsifia kitaalamu.

Kutaja Jina lake mara nyingi wala haimuwekii kuzuri mnaonekana vitukoo na kuonekana hamna creative skills (Lower minded).

Najua nitapata upinzani kutoka kwa machawa lkn huu ndio ukweli.
M
 
Nawasihii wasaidizi wa Mama

Tafuteni mbinu ya kumuweka Mama kwenye nafasi ya Uraisi akaonekana anfiti

mnaweza mkaaza kuwa na public audience mkaeleza update na miradi

Inayoendeleaa ,iliyokwama na nini changamotoo ,way forward

Na serikali hii ya alisi ya awamu ya Tano

Bashe hawatakiwi kuwepo ndani ya serikali lazima mjue hili
Bashe yupo kimkakati
So Mama yetu President of URt please fair Hussen Bashe in your Government
Cheki LOFA huyu! afiti vp wakati uwezo hana?
 
Zuchu ametamka maneno kwamba mama samia mitano tena, raia wamemrushia makopo ya maji jukwaani ad kaondolewa na security
 
Huu ni upumbavu tena unakera sana watu wazima wamekuwa kama mazombi. Yani kusifia tu halafu na msifiwa nae hashituki angekemea huu ujinga.
 
Mkuu umeuharibu uzi ulivyoanza na habari za Yesu
 
Wanajamvii Bwana yesu asifiwe!
Leo ni jumapili siku ya ibada sisi KKKT ni siku ya watoto wetuu (ni sikukuu yao) moja vitu vinanikereketa moyo wanguu ni hawa viongozi wa serikali hii inayojiita awamu ya sita wakati kiuhalisia ni ya Awamu ya tano ni kutumia muda mwingi kusema Samia, kila mahali Samia!

Tunajua fika yeye ndio aliyekuteua na Kiongozi wa serikali ni yeye kwa sasa. Hata dunia inajuaa yeye ndio mrithi wa kiti cha urais baada ya aliyekuwa kutwaliwa katoka maisha haya.

Sasa kwanini kutumia maneno yenye jina lake kwenye hotuba yako, kila ayaa wakati yapo mambo ya msingi ungweza kumuheshimisha aliyekuteua kwa kuzungumzaa?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali

NIWAPE TAARIFA YA KUWA MNAMDHALILISHA HAMPATI TUU MTU WA KUWAAMBIA LKN HUO NDIO UKWELI

Shida ya Viongozi wa Awamu ya Tano wanapenda sanaa kusifiwaa huo ndio ukweli lakini nataka niwaambie muwe creative kukumsifia kitaalamu.

Kutaja Jina lake mara nyingi wala haimuwekii kuzuri mnaonekana vitukoo na kuonekana hamna creative skills (Lower minded).

Najua nitapata upinzani kutoka kwa machawa lkn huu ndio ukweli.
Mbona huoni shida wahubiri wakimtaja Yesu na mtume Mohamed kila wakati!
 
Back
Top Bottom