KERO Nakerwa na mikopo ya mitandaoni hasa inayotolewa na Kampuni ya EasyBuy

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ni nani mmliki wa kampuni ya ukopeshaji mtandaini ya easy buy???

Inadhalilisha watanzania. Tunaomba ifutwe na mmliki akamatwe.

Mkopo unaandikwa unakopa 118,000, Unakopeshwa Tsh 98,000 riba ni Tsh 46,000.
Duh
 
kwa 'shit ho*e' countries' katiba ni sehemu tu ya matatizo ila tuna changamoto nyingi sana ikiwemo kuwa na viongozi vibaraka wa mataifa yaliyoendelea, rushwa, ukosefu wa elimu ya utambuzi, maradhi na umasikini uliotopea.
Hatari sn kama nchi
 
Haukupigwa, ulichukua mkopo kwa hiyari yako bila kupata taarifa zote za huo mkopo.
 
Nape aache unafiki kwani ana pa kuanzia kama yuko serious.

 
Shida yako ni mikopo kausha damu au ulinzi wa data?

Wewe ni kama una ajenda binafsi na Easy Buy.
 
Unajipa Kwa shida zako. Haulipi ukidaiwa unaleta kelele.
 
wewe utakua una visa binafsi na easybuy

kwanza wanaozalilisha watu hata sio hao ukikopa lipa hukuitwa ni shida zako zilikupeleka


ukitaka haki hakikisha na wewe ni mtenda haki😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…