Tajiri mkopeshaji
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 613
- 1,445
malalamiko yenu ni ya kipuuzi.. ndio maana mnapuuzwa!!Wanafiki tu hawa kila siku wanaongea hakuna hatua wanazochukua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
malalamiko yenu ni ya kipuuzi.. ndio maana mnapuuzwa!!Wanafiki tu hawa kila siku wanaongea hakuna hatua wanazochukua.
Kampun inayochangia Pato la taifa more than 5k kila mwenz ifutwe...??Ni nani mmliki wa kampuni ya ukopeshaji mtandaoni ya EasyBuy?
Inadhalilisha watanzania. Tunaomba ifutwe na mmliki akamatwe.
Ukikopeshwa Tsh. 98,000 riba ni Tsh 42,000.
BAAADHI YA MICHANGO KWENYE MJADALA HUU
Mbaya zaidi unakopa iliununue V8 na vikao kulipana poshotena kwa kwa nchi za 'third world countries' athari zake ni kubwa sana chukua mfano wa malawi, zambia, zimbabwe na hata hawa nyang'au majirani zetu.
Mingine Utapeli tu
Ni nani mmliki wa kampuni ya ukopeshaji mtandaoni ya EasyBuy?
Inadhalilisha watanzania. Tunaomba ifutwe na mmliki akamatwe.
Ukikopeshwa Tsh. 98,000 riba ni Tsh 42,000.
BAAADHI YA MICHANGO KWENYE MJADALA HUU
Nyingi hazijasajiliwa..ila ajabu zina operate tena kwa kiburi kikubwaKwani sheria za uanzishwaji wa hizi online microfinancing zinatungwa na nani?Au zimeshindwa toka mbinguni.huu ni unafiki uliopitiliza.
Wew sio sawa unakopa ili wezi pekee ndo wanalalamika hawataki lipa 😂kwako mikopo kausha damu unaiona ni sawa?
Unajua kazi ya insurance au uneongea tu?Mbona katika hiyo mikopo wanayotoa wanaweka na gharama za kukatia huo mkopo insurance ?? na bado wanakudai ulipe ?? sasa hiyo gharama ya insurance ya nini kuiweka na hapo hapo ukaendelea kudai hamuoni kuwa huo ni upigaji wa wazi wa kuwaibia wanaochukua mkopo ???
Watanzania tushakua kama matoto ya mwisho kwa serikali 😂 sasa serikali inashida gani hapo,, hio mikopo kuna watu wananufaika wanakopa na wanarejesha tena kwa kuwatafuta wao wenyewe wewe kushindwa kwako kulipa kwa tamaa za awali za kukopa usigeuze utapeli wako lawama kwa watu,, mnalaumu microfinance, vp kuhusu insurance 😂 wanaochukua hela pengine kwa lazima? Kama darasani ulikuaga ni mteja wa mapenzi lazima kichwa kiwe kizito kufafanua mamboNi nani mmliki wa kampuni ya ukopeshaji mtandaoni ya EasyBuy?
Inadhalilisha watanzania. Tunaomba ifutwe na mmliki akamatwe.
Ukikopeshwa Tsh. 98,000 riba ni Tsh 42,000.
BAAADHI YA MICHANGO KWENYE MJADALA HUU