I see. 😀 😀 😀Chupi ni vazi, unataka ianikwe wapi? Ni muhimu sana chupi na nguo zote za ndani kuanikwa juani zikauke kwelikweli ili kuua bacteria na vimelea wengine.
Ushauri wangu: wakianika chupi zao hadharani na wewe weka boksa yako juu ya hizo chupi, utakuja kunishukuru.
mambo ya chumbani anaweka hadharani sio?Kuna mdada nyumba jirani huwa anafua nguo za ndani nyingi na kuzianika kujaza kamba ikiwa ni njiani tunapopita.
Hii tabia sipendezwi nayo inatutia tu akshi asubuhii
Kwani hizo chupi huwa anazichafua mara moja au akioga hafui akabadilisha ndo azirundike afue machupi zaidi ya 40 siku moja
Nyie wanawake wa mjini mnatutia vishawishi jamani
Kwanini akifua japo asianike faragha kama bafuni,
Ni hatari wadada wa Tabata
Nitahama Tabata mimi
angalau ndio ustaarabu huoMimi nilimwambia jirani ukianika vyupi naomba ufunike na mtandio
Kijana Oa upwiru utakuuaKuna mdada nyumba jirani huwa anafua nguo za ndani nyingi na kuzianika kujaza kamba ikiwa ni njiani tunapopita.
Hii tabia sipendezwi nayo inatutia tu akshi asubuhii
Kwani hizo chupi huwa anazichafua mara moja au akioga hafui akabadilisha ndo azirundike afue machupi zaidi ya 40 siku moja
Nyie wanawake wa mjini mnatutia vishawishi jamani
Kwanini akifua japo asianike faragha kama bafuni,
Ni hatari wadada wa Tabata
Nitahama Tabata mimi
Wakianika ndani watapata fungus, mwisho iwe kero kwa wala mbususu
Chupi ni vazi, unataka ianikwe wapi? Ni muhimu sana chupi na nguo zote za ndani kuanikwa juani zikauke kwelikweli ili kuua bacteria na vimelea wengine.
Ushauri wangu: wakianika chupi zao hadharani na wewe weka boksa yako juu ya hizo chupi, utakuja kunishukuru.