Nakerwa na tabia ya jirani yangu kuanika chupi hadharani

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hama tabata hama
 
Chupi narundika kama za wiki au na zaidi,weekend nailoweka naifua na kuianika nje japo kwangu kuna geti.
Siwezi anika chupi ndani
 
Sijui hapa nakomment nini...anyway wewe binafsi unahitaji ushauri au unaamini wote tunamfahamu tuende kumpa hizi taarifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…