Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #221
ni mawazo yako mkuuMara paaap kamimbwa 😃😃😃😔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mawazo yako mkuuMara paaap kamimbwa 😃😃😃😔
Wewe unataka kutembea na mua angalia usije ukaula...🤣Pole kwa kuto kuwa nae, ila waweza nichukulia Kama kaka ako.
Tuna weza tusiwe ndugu wa damu, ila Ina pendeza kuona, nakuwa chanzo Cha furaha au tegemezi kwa mtu mwingine.
angalia nime ku quote komenti ganimkuu kwenu mna jamiiana kingono na ndugu zako?
au ndio style yenu kwenye ukoo wenu?
Ahh sorry mkuu, kumbe una mzungumzia yule bi dada😂🤣🤣angalia nime ku quote komenti gani
Familia nyingi nilizoona ndo zipo kama nilivyoandika, sikiliza hata wanasaikolojia, familia yetu ni mchanganyiko, hatuna shida yoyote.Duh ume andika ujinga mwingi Sana, ila pengine ndio asili ya familia yenu.
Duh ni sawa piaFamilia nyingi nilizoona ndo zipo kama nilivyoandika, sikiliza hata wanasaikolojia, familia yetu ni mchanganyiko, hatuna shida yoyote.
Asante, nawe una mdogo wako wa kike au kiume?Hongera yako
Hapana mkuu, mimi ndiyo mtoto wa mwisho kuzaliwa kwetu.Asante, nawe una mdogo wako wa kike au kiume?
hongera, maana kaka au dada zako wata kuwa Wana kujali Sana!.Hapana mkuu, mimi ndiyo mtoto wa mwisho kuzaliwa kwetu.
Haipo hivyo kabisa mkuu, kila mtu yuko bize na maisha yakehongera, maana kaka au dada zako wata kuwa Wana kujali Sana!.
oops, ila sio mbaya Kama huwa mna chekiana kwa simu au kukutana.Haipo hivyo kabisa mkuu, kila mtu yuko bize na maisha yake
Yeah! Kiasioops, ila sio mbaya Kama huwa mna chekiana kwa simu au kukutana.
sio mbaya, maana upendo ni muhimu kwenye maisha.Yeah! Kiasi
Naelewa hiloShida wakianza kubalehe wanachanganyikiwa sana.Bro love and protection wanaona ni jau sana. Jiandae tu kisaikolojia usije ua mtu
Kweli mkuu, ila mimi ndugu zangu tunakutana kwenye sherehe na misiba ikitokea.sio mbaya, maana upendo ni muhimu kwenye maisha.
Duh, badilisheni utaratibu mkuu.Kweli mkuu, ila mimi ndugu zangu tunakutana kwenye sherehe na misiba ikitokea.