abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
- Thread starter
- #41
Sidhan kama zinaweza kua Drama sababu sabaye analiliwa na wengiKwann usione hiz ni drama2, Kwamba anaonewa..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhan kama zinaweza kua Drama sababu sabaye analiliwa na wengiKwann usione hiz ni drama2, Kwamba anaonewa..?
Funguka wewe jambazi. Acha kuzunguka. Jambazi mwenzio ananyea ndoo kule kisongo.Lini unaenda kumuwekea wakili wa kumtetea?Usilolijua Ni sawa na usiku wa giza
Noma haswaHatari sana
Swadakta/ewalahWewe ni kijana muungwana. Binadamu anayekiri mapungufu yake hadharani ni mtu anayejiami. Nakupongrza kwa hatua hii.
Ushauri wangu kwako,na watu wengine ambao mliingia kwenye mtego wa viongozi laghai kwa kutekwa na propaganda zao...anza kusaka ukweli(truth) ili ufanye informed judgement.
Mwendazake ndio alikuwa kubwa la majambaziSiyo Sabaya tu, hata mwendazake naye alikushinda ujanja na akili, tena huyo ndo alikushinda zaidi.
"Vetting" kwa viongozi pale wateuliwapo ni mchakato muhimu sana, na unapaswa kufanyika kabla kiongozi mteule kuapishwa na kukabidhiwa ofisi za umma. Mamlaka za uteuzi huweza kufanya makosa na kumteua mtu kwa sababu za kimaslahi wanazozijua wao wenyewe nje ya vigezo stahili vya ushindani, weledi, stadi, ujuzi, elimu na uzoefu wa muhusika.
Mchakato huu unapaswa kuwekwa kiaheria, ili jopo la majaji liundwe na kuweza kujiridhisha juu ya sifa za kimaadili na kiuadilifu za kiongozi mteule. Kwa kufanya hivyo tutaepuka kupata viongozi ndezi kama huyu Lengai ole Sabaya.
Kwa masikitiko makubwa na kwa mara nyingine tena tunazidi kushuhudia na kutilia mashaka umakini katika teuzi dhaifu za mwendake hasa kwa viongozi vijana. Aliwadekeza mno wengine wakifanya matendo ya kifedhuli mbele ya macho yake huku yeye akifurahia.
Kwake wale waliowachapa watu viboko sawa! Waliowa waweka watu kolokoloni Kwa masaa 48 sawa! Kundi la watu wasiojulikana sawa! Waliotoa lugha za matusi na sizizokuwa za staha sawa! Kuharibu mali za watu sawa! Na mengine mengi yenye kufanana na haya.
Mwendazake! Mwendazake! Mwendazake! Kweli ulijaribu, kuthubutu ama hata kutamani kubadilisha katiba ya nchi na kuondoa ukomo wa uongozi!? Acha tu zibaki kuwa ni tetesi.
Ole sabaya hakua mkuu wa wilaya bali alikua ni jambazi kamili
Kuna siku watagundua kuwa Magu alikua kama.huyu tu
Dini na so called ucha Mungu ulitumika sana kama kigezo cha kuficha maovu na kupata kiki kisiasa.Ogopa sana wanaotanguliza uzalendo na Mungu mbele...Ogopa sana watu wa Camera maACTION na mapicha picha ya kuonyesha "UZARENDO"......Bashite kutwa alikuwa mbele ya camera mara kujenga hospital ,mara kutetea wajane mara kutibu TEZI dume kumbe alikuwa anawahadaa wanyonge.