Nakitabiria kifo Chama cha Mapinduzi

Nakitabiria kifo Chama cha Mapinduzi

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
Sijawahi kupiga ramli wala si mtabiri ila kwa yanayoendelea nchini na kwa manung'uniko ya wananchi kila mahala ,si ajabu hiki chama kiko mbioni kuvifuata vyama vyenzake vya ukombozi huko mahala pema.

Watanzania wa sasa wamebadirika mno, nadhani zamani kidogo ilikuwa tofauti ila sasa kila mmoja anatambua nini anataka kuona kutoka kwa watawala.

Hata kama hakuna chama kinacho promise future yetu ila kwenye mijadara so many people are calling to take back control of their country, hii imenishtua kwani issue si chama kipi kituongoze na mbaya zaidi bunge linaonekana kusimama na wezi nobody to turn to. Kwa mantiki hiyo hii inaweza kuwa mwanzo wa safari ya CCM kuvifuata vile vyama vyenzake maana kama ni magamba yashavuliwa bada sasa kijichune nyama.
 
CCM ilishakufa sasa ife mara ngapi ili tuamini kwamba ilishakufa na kama huamini subiri uchaguzi wowote hata wa mwenyekiti wa kitongoji au hata wa mjumbe wa serikali ya kijiji au mtaa.

Hutawaona wakifanya hata kampeni na badala yake utawaona polisi, usalama wa taifa, watendaji wa halmashauri wakiwa busy kuhujumu huo wanauita uchaguzi ili mgombea wa ccm atangazwe kwamba ndiye ameshinda.

Na mara nyingi utaona wagombea wa vyama vingine wakienguliwa ili yule wa ccm apite bila uchaguzi kufanyika na huo uchaguzi utasimamiwa na hao hao ccm wenyewe.

Very foolish and annoying. Ccm only exists on papers.
 
Labda uwe unaota au ni utani lakini CCM ipo sana na itakuwepo sana. Uzuri wa CCM haifanyi siasa za matukio au za kupita kama upepo ila ni siasa za kisayansi mno
 
Sijawahi kupiga ramli wala si mtabiri ila kwa yanayoendelea nchini na kwa manung'uniko ya wananchi kila mahala ,si ajabu hiki chama kiko mbioni kuvifuata vyama vyenzake vya ukombozi huko mahala pema.

Watanzania wa sasa wamebadirika mno, nadhani zamani kidogo ilikuwa tofauti ila sasa kila mmoja anatambua nini anataka kuona kutoka kwa watawala.

Hata kama hakuna chama kinacho promise future yetu ila kwenye mijadara so many people are calling to take back control of their country ,hii imenishtua kwani issue si chama kipi kituongoze na mbaya zaidi bunge linaonekana kusimama na wezi ,no body to turn to . Kwa mantiki hiyo hii inaweza kuwa mwanzo wa safari ya CCM kuvifuata vile vyama vyenzake maana kama ni magamba yashavuliwa bada sasa kijichune nyama.
Andiko hili limfikie mkuu Pascal Mayalla kwenye shajara.
 
Labda uwe unaota au ni utani lakini CCM ipo sana na itakuwepo sana. Uzuri wa CCM haifanyi siasa za matukio au za kupita kama upepo ila ni siasa za kisayansi mno
May be sayansi kwenye mambo mengine ila kwenye wizi ndo wananchi wanegundua janja .sina uhakika kama research unit yao bado inafanya kazi , mi niko field mlioko Lumumba hamuwezi kujua watu wana hasira kiasi gani , there is no miracle or science on thefty that has instant result on wananchi.
 
Hii ni ndoto ya mchana watanzania wachache sana wanaofuatilia mambo ya nchi kuhusu ubadhirifu wa mali za uma kuna watu wengi sana hawajui hata CAG ni nini
 
Sijawahi kupiga ramli wala si mtabiri ila kwa yanayoendelea nchini na kwa manung'uniko ya wananchi kila mahala ,si ajabu hiki chama kiko mbioni kuvifuata vyama vyenzake vya ukombozi huko mahala pema.

Watanzania wa sasa wamebadirika mno, nadhani zamani kidogo ilikuwa tofauti ila sasa kila mmoja anatambua nini anataka kuona kutoka kwa watawala.

Hata kama hakuna chama kinacho promise future yetu ila kwenye mijadara so many people are calling to take back control of their country ,hii imenishtua kwani issue si chama kipi kituongoze na mbaya zaidi bunge linaonekana kusimama na wezi ,no body to turn to . Kwa mantiki hiyo hii inaweza kuwa mwanzo wa safari ya CCM kuvifuata vile vyama vyenzake maana kama ni magamba yashavuliwa bada sasa kijichune nyama.
Wizi, uporaji na unyang'anyi vimetamalaki..
 
Wizi, uporaji na unyang'anyi umetamalaki..
I am so happy just watu wanavyokuwa nyuki kulinda mali za nchi.
 
Back
Top Bottom