TozzyMay
JF-Expert Member
- Dec 30, 2023
- 482
- 1,787
Unaweza kuanza na mtaji wowote (hata 50k +)Minimu mtaji wa hii biashara ya money agent ni kiasi gani
Ila ukubwa wa Mtaji + wateja wengi =Faida kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuanza na mtaji wowote (hata 50k +)Minimu mtaji wa hii biashara ya money agent ni kiasi gani
Tupeni ukweli wa mambi nyie wenye uzoefu tuangalie jinsi ya kuwakwamua Mama zetuLabda alimaanisha uwakala wa NMB, CRDB, nk.
By the way hiyo biashara kwa sasa ni ngumu sana! Na hasa baada ya kuongezwa kwa tozo.
Mkuu Line moja kuisajiri hadi kuanza biashara inahitaji kwa minimum kiasi gani?Unaweza kuanza na mtaji wowote (hata 50k +)
Ila ukubwa wa Mtaji + wateja wengi =Faida kubwa
Unapatikana wapi?Hii ni Bei ya line za biashara? Mbona kuna watu wanasema line moja hadi Milioni?
Gharama ya usajili.Mkuu Line moja kuisajiri hadi kuanza biashara inahitaji kwa minimum kiasi gani?
Unanunua line ya simu kweli? Inawezekanaje?Yani unakodisha line ambazo huna mpango wa kuja kuendelea kuzitumia??? si uziuzee tu ujue mojaa
Hizo line hazina gharama kivile. Shida iko kwenye vigezo vya kuzipata kwa njia halali.Tupeni ukweli wa mambi nyie wenye uzoefu tuangalie jinsi ya kuwakwamua Mama zetu
Kununua laini kwa Mtu Laini ya biashara Hukatazwi na mtu yeyote pia inawezekana.Unanunua line ya simu kweli? Inawezekanaje?
Vishoka hao.nenda makao makuuKwa laini zote? Na hii ya kufata masharti ni masharti gani maana ki kawaida ikifika kwenye shop zao wanakudirect kwa mtu hizo mambo na kimsingi ndo anakutajia hizo bei
Yeah, leseni ya biashara lazima ulipie, ni utaratibu wa nchiHizo line hazina gharama kivile. Shida iko kwenye vigezo vya kuzipata kwa njia halali.
Ni lazima uwe na leseni ya biashara na pia TIN kutoka TRA ya kuonesha wewe ni mlipa kodi! Na kumbuka tu huko kote lazima uliwe hela kulingana na eneo utakapofanyia biashara.
Ukweli wanajua wenye mitandao wenyewe mkuu, ila in symmary ni kua mitandao husema line za uwakala ni bure ila ukifika kwenye hayo maduka yao mtahangaishana mpaka unaingia mfukoni mkuuNaomba ukweli wa hili jambo maana naona hapa nilipo naweza fanya kitu
Nilikuwa na ofisi yangu ya Uwakala wa fedha kwa mitandao ya simu lakin bahati mbaya nimefulia na line zipo ila sizifanyii kazi.
Kiukweli sina mpango wa kuzitumia hizi line tena.
Kama unazihitaji tunaweza kuingia makubaliano/Mkataba ili kuwe na usalama kwako na kwangu pia.
Line nilizonazo ni Mpesa, AirtelMoney, Halopesa na TigoPesa(Yas).
Nina Lipa namba pia ya Tigo, Mpesa na Airtel.
Line zote zimesajiliwa kwa Majina yangu namimi ndio mmiliki halali wa hizo line.
Kama unazihitaji hizi Lines naomba uje PM ili tuzungumze biashara.
ASANTE.
NB; NINGEPENDA NIKUKODISHE KWA MWAKA MMOJA NA ZAIDI ILI UWE NA WASAA MZURI WA KUFANYA KAZI.
Laini ya biashara siyo bure Mkuu.Ukweli wanajua wenye mitandao wenyewe mkuu, ila in symmary ni kua mitandao husema line za uwakala ni bure ila ukifika kwenye hayo maduka yao mtahangaishana mpaka unaingia mfukoni mkuu
Kaka nichek 0616992338Nilikuwa na ofisi yangu ya Uwakala wa fedha kwa mitandao ya simu lakin bahati mbaya nimefulia na line zipo ila sizifanyii kazi.
Kiukweli sina mpango wa kuzitumia hizi line tena.
Kama unazihitaji tunaweza kuingia makubaliano/Mkataba ili kuwe na usalama kwako na kwangu pia.
Line nilizonazo ni Mpesa, AirtelMoney, Halopesa na TigoPesa(Yas).
Nina Lipa namba pia ya Tigo, Mpesa na Airtel.
Line zote zimesajiliwa kwa Majina yangu namimi ndio mmiliki halali wa hizo line.
Kama unazihitaji hizi Lines naomba uje PM ili tuzungumze biashara.
ASANTE.
NB; NINGEPENDA NIKUKODISHE KWA MWAKA MMOJA NA ZAIDI ILI UWE NA WASAA MZURI WA KUFANYA KAZI.
Nichek boss 0616992338Bei ni sawa na Bure kabisa.
Ukinitafuta hautoamini kabisa kiasi nitakachokutajia.
Mkuu uko mkoa gani na je location ya ulipokua unafnyia biashara unaionaje kwa biashara? Kama patakua vzr nizichukue line lkn kwa msharti ya kukodishiwa na eneo la biashara kabisaNilikuwa na ofisi yangu ya Uwakala wa fedha kwa mitandao ya simu lakin bahati mbaya nimefulia na line zipo ila sizifanyii kazi.
Kiukweli sina mpango wa kuzitumia hizi line tena.
Kama unazihitaji tunaweza kuingia makubaliano/Mkataba ili kuwe na usalama kwako na kwangu pia.
Line nilizonazo ni Mpesa, AirtelMoney, Halopesa na TigoPesa(Yas).
Nina Lipa namba pia ya Tigo, Mpesa na Airtel.
Line zote zimesajiliwa kwa Majina yangu namimi ndio mmiliki halali wa hizo line.
Kama unazihitaji hizi Lines naomba uje PM ili tuzungumze biashara.
ASANTE.
NB; NINGEPENDA NIKUKODISHE KWA MWAKA MMOJA NA ZAIDI ILI UWE NA WASAA MZURI WA KUFANYA KAZI.
Huwa ni bure, shida ni mzunguko (utaratibu) ndomana kuokoa muda watu wanatoa chochote kitu kwa mawakala wa mitaani.Laini ya uwakala bure ,sina hakika na Hilo tangazo,
Hata kwenye shop zao ni bure ila masharti mengi (leseni ya biashara, tin, nida etc) na bado utatakiwa kusubiri line siku kama si miezi kadhaa ndomana watu wanatafuta shortcut mitaani.Hilo tangazo hua lipo kila mwaka, lakini ukifika katika shop zao hali ni tofauti. Hilo ndo swali langu mkuu
Au akienda kublock line na kurenewNi bure mbona , wabongo hawapendi kujigusa. Yaani kabisa nikodi line niweke mtaji say wa milioni tano! Akija na mapolisi akasomba float zote nitafanya nini
Imagine.Au akienda kublock line na kurenew