Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
[emoji23][emoji23] Aingie kwenye chama lenu sio.Una Ngwengwe wewe Anza ARV
🤣 😂 🤣 😂Badala ya kwenda hospitali wewe unauliza tafsiri?
Hayuko serious [emoji23][emoji23][emoji1787] [emoji23] [emoji1787] [emoji23]
Umeshawahi kwenda hospitali? kama bado fanya uende haraka kama itashindikana ndio uanze kutafuta m'badala wake..Hapo vip!!
Kuna tatizo moja linanishangaza na kunipa mawazo zaidi...
Ni takribani miaka sasa.. ikifika saa saba au nane usiku naanza kukohoa sana..au saa zingine saa saba mchana...
Ila masaa mengine nakua nipo sawa kabisa...
Wataalam tafsiri yake nini...
Sijawahi mkuu ila sasa itabidi nichukue hatuaUmeshawahi kwenda hospitali? kama bado fanya uende haraka kama itashindikana ndio uanze kutafuta m'badala wake..
Fanya hivyo itakua jambo jema zaidiSijawahi mkuu ila sasa itabidi nichukue hatua
Hii bado sijaelewa..Wachawi wanakuwa wameanza kukulisha nyama
Allergy inayoenda na mda? [emoji849][emoji849]Wakati mwingine inaweza kuwa ni allergy,jaribu kuwaona wataalamu wa afya waliobobea,wanaweza kukupa msaada...
Wachawi wanakiwa wameanza kukulisha nyama za watu, unapokohoa unakuwa imechukua pande kubwa limekaba kooni, au damu ya binadamu unayonyweshwa inaingia koo LA hewaHii bado sijaelewa..
Hapo vipi,
Kuna tatizo moja linanishangaza na kunipa mawazo zaidi.
Ni takribani miaka sasa ikifika saa saba au nane usiku naanza kukohoa sana, au saa zingine saa saba mchana.
Ila masaa mengine nakua nipo sawa kabisa.
Wataalam tafsiri yake nini.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mshana Jr kasema hicho ni kikohozi cha kichawi....
Miaka mingapi?Hapo vipi,
Kuna tatizo moja linanishangaza na kunipa mawazo zaidi.
Ni takribani miaka sasa ikifika saa saba au nane usiku naanza kukohoa sana, au saa zingine saa saba mchana.
Ila masaa mengine nakua nipo sawa kabisa.
Wataalam tafsiri yake nini.