Miss Cullen
Member
- Jul 27, 2017
- 5
- 3
Ndugu wa humu ndani na watu wa jamvi hili,
Mimi ni msichana ambae ni mweupe wa asili tangu kuzaliwa lakini kitu ambacho kinanikera ni kwamba nina weusi mkubwa katikati ya mapaja pamoja na mabaka, sijui ulianza vipi sikumbuki maana mimi ni mwembamba sivaagi nguo za kubana wala skin tight yaani kifupi sifanyi chochote cha kufanya huo weusi uwepo ila nilianza kuuona baada ya kujitambua nikiwa bado mdogo mdogo(nahisi nilizaliwa hivyo)
Nimetumia vitu vingi lakini hakuna hata kimoja kilichonisaidia mpaka sasa nishachoka jamani, hii hali inanifanya nikose kujiamini na kufikiria mara mbili mbili linapokuja suala la kuwa na mpenzi maana naona ni kitu cha aibu na aibu mtu akikuta nipo tofauti na muonekano wangu wa nje, hivi wakaka huwa mnafikiria nini mnapokuta msichana ana rangi za ajabu katika mwili wake kama weusi mapajani au mabaka tofauti na ulivyotegemea?
Sina amani na raha kiukweli natamani sijui nipate dawa gani ya kuondoa hio tofauti katika mwili wangu.
Mimi ni msichana ambae ni mweupe wa asili tangu kuzaliwa lakini kitu ambacho kinanikera ni kwamba nina weusi mkubwa katikati ya mapaja pamoja na mabaka, sijui ulianza vipi sikumbuki maana mimi ni mwembamba sivaagi nguo za kubana wala skin tight yaani kifupi sifanyi chochote cha kufanya huo weusi uwepo ila nilianza kuuona baada ya kujitambua nikiwa bado mdogo mdogo(nahisi nilizaliwa hivyo)
Nimetumia vitu vingi lakini hakuna hata kimoja kilichonisaidia mpaka sasa nishachoka jamani, hii hali inanifanya nikose kujiamini na kufikiria mara mbili mbili linapokuja suala la kuwa na mpenzi maana naona ni kitu cha aibu na aibu mtu akikuta nipo tofauti na muonekano wangu wa nje, hivi wakaka huwa mnafikiria nini mnapokuta msichana ana rangi za ajabu katika mwili wake kama weusi mapajani au mabaka tofauti na ulivyotegemea?
Sina amani na raha kiukweli natamani sijui nipate dawa gani ya kuondoa hio tofauti katika mwili wangu.