Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,210
Hapa tunakuletea ujenzi bora wa Tanga stone. Tumebobea kubuni kukata na kuyajenga mawe ya Tanga.
Ofisi yetu ipo Rufungira Mwenge utatupata kwa namba hii 0766111212
pia kupitia whatsapp utaweza kuona kazi zetu mbalimbali.
View attachment 517350View attachment 517351View attachment 517352View attachment 517355
Katika picha hizi kuna kazi ambazo nimefanya mimi nyingine sio zangu, ila nimelenga kukuonesha mwonekano wa Tanga stone ,
Ndg Bei inategemea na hitaji lako. Jiwe la Tanga garama yake ni kwenye kunikata. Kuna wanao nunua mawe wanaenda kujenga wenyewe na kuna wanao hitaji kujengewa. Maana yake fundi atayakata na kuyajenga.Bei zenu zikoje mkuu?
Ndg Bei inategemea na hitaji lako. Jiwe la Tanga garama yake ni kwenye kunikata. Kuna wanao nunua mawe wanaenda kujenga wenyewe na kuna wanao hitaji kujengewa. Maana yake fundi atayakata na kuyajenga.
View attachment 517651 View attachment 517653 Hapa unaweza kuona tofauti.
View attachment 517737View attachment 517738 Hizi ni sehemu ya kazi za Tanga Stone.
View attachment 517737View attachment 517738 Hizi ni sehemu ya kazi za Tanga Stone.
Wewe ndg upo wapi?Very good work! Nafurahi inatoka hapo. Huku tunaletewa from RSA...kwa sq m! Hongera sana
Wewe ndg upo wapi?
La Tanga ni zuri kwa mwonekano, ila la Moro ni imara zaidi.Bora umesema ukweli,
Hayo ya tanga na yale ya Morogoro wanayo tengenezea Mabo yapi mazuri imara?
Ndg hii kazi wengi wanapenda kwasababu ya sanaa, Tanga stone ni jiwe halisi tofauti na tiles ambazo pia kila baada ya muda zinaisha fashion, lakini jiwe litabaki ni jiwe halisi daima.Tofauti na tiles zenye muonekano kama huu ni nini?
Ndg hii kazi wengi wanapenda kwasababu ya sanaa, Tanga stone ni jiwe halisi tofauti na tiles ambazo pia kila baada ya muda zinaisha fashion, lakini jiwe litabaki ni jiwe halisi daima.