Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,210
- Thread starter
- #21
Unaosha na maji kama kawaida.ubora na upande kufuta likichafuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaosha na maji kama kawaida.ubora na upande kufuta likichafuka?
Inaosheka Ndg.ubora na upande kufuta likichafuka?
Inaosheka Ndg.
Kwangu mimi ukiniletea mawe site kukata na kujenga ni tsh. 28,000. Kazi kubwa ipo kwenye kukata.Kwa hapa Dar sqm moja inaenda kwa bei gani?
Kwangu mimi ukiniletea mawe site kukata na kujenga ni tsh. 28,000. Kazi kubwa ipo kwenye kukata.
Nyumba yangu ikiwa huko huko mkoani Tanga je kuna nafuu ya Gharama za nakshi hizi za Tanga stone? ?Tuite sasa tuyapambe makazi yako na Tanga stone.
Nafuu itakuwepo kwenye garama za usafirishaji tu.Nyumba yangu ikiwa huko huko mkoani Tanga je kuna nafuu ya Gharama za nakshi hizi za Tanga stone? ?
Nafuu itakuwepo kwenye garama za usafirishaji tu.
Tupe mfano wa bei zake kwa square mita:Ndg Bei inategemea na hitaji lako. Jiwe la Tanga garama yake ni kwenye kunikata. Kuna wanao nunua mawe wanaenda kujenga wenyewe na kuna wanao hitaji kujengewa. Maana yake fundi atayakata na kuyajenga.
Ndg mawe yanatoka Tanga kama mapende yanakatwa baada ya kufika site. Ila kwenye Fuso kubwa moja tunapata wastani wa sqm 60-68Tupe mfano wa bei zake kwa square mita:
Lililosafishwa juu tu bila kukatwa
Lililosafishwa na kukatwa vitofali
Hii itatusaidia kufanya makisio kwa uhalisia zaidi
Angalau ungesema gharama kwa kila 'square metre' kukata tu au na kujenga!Ndg Bei inategemea na hitaji lako. Jiwe la Tanga garama yake ni kwenye kunikata. Kuna wanao nunua mawe wanaenda kujenga wenyewe na kuna wanao hitaji kujengewa. Maana yake fundi atayakata na kuyajenga.