Nakshi nyumba yako na Tanga stone

Nakshi nyumba yako na Tanga stone

Inaosheka Ndg.
1496403909395.jpg
1496403923430.jpg
Picha hii sikufanya mimi ni kwa hisani ya mabingwa wa ujenzi wa Tanga stone, lengo ni kukuonesha mwonekano.
 
Tuite tuyapambe makazi yako na Tanga stone.
 
Kwa hapa Dar sqm moja inaenda kwa bei gani?
 
Ni wakati wa kuyapamba makazi yako na Tanga stone.
 
Kwangu mimi ukiniletea mawe site kukata na kujenga ni tsh. 28,000. Kazi kubwa ipo kwenye kukata.
1496602832358.jpg
1496602909840.jpg
1496602931782.jpg
1496602951283.jpg
Huu ni mwonekano wa sehemu ya kazi za Tanga Stone. Picha hizi ni kwa hisani wa wadau wa Tanga stone.
 
Tuite sasa tuyapambe makazi yako na Tanga stone.
 
Ndg Bei inategemea na hitaji lako. Jiwe la Tanga garama yake ni kwenye kunikata. Kuna wanao nunua mawe wanaenda kujenga wenyewe na kuna wanao hitaji kujengewa. Maana yake fundi atayakata na kuyajenga.
Tupe mfano wa bei zake kwa square mita:
Lililosafishwa juu tu bila kukatwa
Lililosafishwa na kukatwa vitofali

Hii itatusaidia kufanya makisio kwa uhalisia zaidi
 
Tupe mfano wa bei zake kwa square mita:
Lililosafishwa juu tu bila kukatwa
Lililosafishwa na kukatwa vitofali

Hii itatusaidia kufanya makisio kwa uhalisia zaidi
Ndg mawe yanatoka Tanga kama mapende yanakatwa baada ya kufika site. Ila kwenye Fuso kubwa moja tunapata wastani wa sqm 60-68
 
Ndg Bei inategemea na hitaji lako. Jiwe la Tanga garama yake ni kwenye kunikata. Kuna wanao nunua mawe wanaenda kujenga wenyewe na kuna wanao hitaji kujengewa. Maana yake fundi atayakata na kuyajenga.
Angalau ungesema gharama kwa kila 'square metre' kukata tu au na kujenga!
 
Back
Top Bottom