Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #281
Watakula uzi wangu hawa mods..Weka na banner la huo mshangazi kwenye huu uzi Poor Brain π€£π€£π€£
Na una tiki ya blue mkuu πππππ€π€Hujuwi tu aisee nanyamaza kwa sababu Mimi ni verified Member humu.
Mwanamke kwa asili ni wa kupokea.Kuna jamaa nae "alibahatika" kupata mdada around 48, huyo dada alikuwa na mapene balaa ila alikuwa mkiwa sana yule dada...
Jamaa alienjoy sana, kidogo angemsahau mkewe kwa raha alizokuwa anapewa. First time kuwekana 5* hotel, mdada akampa hadi kadi, anamuwekea humo pesa ili wakiingia sehemu jamaa ndio analipa(kuonyesha uanaume).
Siku alipoachwa ilikiwa kama jamaa yupo kwa ndoto, hakuamini.
Unazinguwa πππππππ weweee weee unafeliiiiiMwanamke kwa asili ni wa kupokea.
Kiumbe pekee ambaye kutunza kiumbe mwingine hachoki, halalamiki,haoni ni mzigo, haoni anaelemewa ni MWANAUME.
Sisi huwa tunachoka af ghafla tu unakinahi!
Unachoka!
Kumpa mwanaume hela ili akukaze hwa vuuuuuup unaona eiiish mbon kama natumika, mbna kama kitonga sana, mbna kama huyu karidhika na hii,mbona kama najifanya mwenyewe.
Unashtukia,
NAOMBA USINITAFUTE TENA, SINA TATIZO NA WEWE its just naomba usinitafute
Mbona simba jike anatunza dume na watoto poa tu.Mwanamke kwa asili ni wa kupokea.
Kiumbe pekee ambaye kutunza kiumbe mwingine hachoki, halalamiki,haoni ni mzigo, haoni anaelemewa ni MWANAUME.
Sisi huwa tunachoka af ghafla tu unakinahi!
Unachoka!
Kumpa mwanaume hela ili akukaze hwa vuuuuuup unaona eiiish mbon kama natumika, mbna kama kitonga sana, mbna kama huyu karidhika na hii,mbona kama najifanya mwenyewe.
Unashtukia,
NAOMBA USINITAFUTE TENA, SINA TATIZO NA WEWE its just naomba usinitafute
Nzuriii hiyoMbona simba jike anatunza dume na watoto poa tu.
Hata mwanaume akipewa pesa na mwanamke lazima ajishtukie zamani hizo nilikua nina mpenzi anaejimudu uchumi mimi ndio kwanza nimetoka chuo , tukitoka alikua ananipa pesa nilipie kila kitu ππ nilikua najisikia vibaya mno ikabidi nimwache kwa siri .Mwanamke kwa asili ni wa kupokea.
Kiumbe pekee ambaye kutunza kiumbe mwingine hachoki, halalamiki,haoni ni mzigo, haoni anaelemewa ni MWANAUME.
Sisi huwa tunachoka af ghafla tu unakinahi!
Unachoka!
Kumpa mwanaume hela ili akukaze hwa vuuuuuup unaona eiiish mbon kama natumika, mbna kama kitonga sana, mbna kama huyu karidhika na hii,mbona kama najifanya mwenyewe.
Unashtukia,
NAOMBA USINITAFUTE TENA, SINA TATIZO NA WEWE its just naomba usinitafute
we mjaze mwenzio tuMbona simba jike anatunza dume na watoto poa tu.
Huu ni wivuπutakufa vibaya weweeeee nakuhurumia
wenzio wanaona raha na ndo wanataka hivyo siku hizi vijanaHata mwanaume akipewa pesa na mwanamke lazima ajishtukie zamani hizo nilikua nina mpenzi anaejimudu uchumi mimi ndio kwanza nimetoka chuo , tukitoka alikua ananipa pesa nilipie kila kitu ππ nilikua najisikia vibaya mno ikabidi nimwache kwa siri .
Ona vijana wenzako wanavyojadili hukooπ€£π€£π€£Na una tiki ya blue mkuu πππππ€π€
Unajiskiaje vibaya...Hata mwanaume akipewa pesa na mwanamke lazima ajishtukie zamani hizo nilikua nina mpenzi anaejimudu uchumi mimi ndio kwanza nimetoka chuo , tukitoka alikua ananipa pesa nilipie kila kitu ππ nilikua najisikia vibaya mno ikabidi nimwache kwa siri .
we kula raha banaaa mi mbona nishakubali kuwa sia ajabu bibi yangu kaniachia mkoba!Unazinguwa πππππππ weweee weee unafeliiiii
Mie mjomba, sina tatizo nakula wakubwa wenzangu. Dogo ndio kaamua kujilipua na wadada marika yetu!!we mjaze mwenzio tu
Ndo inavotakiwa sasa..wenzio wanaona raha na ndo wanataka hivyo siku hizi vijana
Dogo uko below 25 nini? π€£π€£π€£Unajiskiaje vibaya...
Unawazimu wewe ety ππππ
Weee acha mambo yako...utakufa vibaya weweeeee nakuhurumia
Anaona nafaidi sanaHuu ni wivuπ
Amjaze nani mbona kama mnaleta pigo sio πππwe mjaze mwenzio tu