Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha..........huenda nayo ni sababuHii ya sabuni huwa naipinga sana babu , hatakusafisha safisha kila mara huwa siungi mkono kabisa 😁
Karibu katika ulimwengu wa raha za mashangaziHatari sana
kwahiyo gentleman,


Khaaa! Yaani siku nzima ipite bila kusafisha?😂🙌Hii ya sabuni huwa naipinga sana babu , hatakusafisha safisha kila mara huwa siungi mkono kabisa 😁
Mkuu hapana hapana ila nina password za kila kitu chake..kwahiyo gentleman,
daily unachomoka na pocket money bei gan kwa mfano?
hujawahi kuchezea makofi au kuosheshwa vyombo kweli? au kwasababu ya kurogwa vizuri hauoni tabu tena na unaoshea kibarazani kabisa?![]()
Siku hiz umekuwa mwanaume?Wewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania.
Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi.
Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini dasalam.
Nakuachaje kwa mfano. Kwa hizi starehe.... 😋😋😋😋😋
Hovyo ww jamaa aisee 😁😁😁😁Koh Koh Koh ............hii Kiko niliyoanza kuvuta tangu asubuhi naona inafanya nikohoe sana leo 😅🏃🏃🏃
Astakafillah astakafillah astakafillah 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁Siku hiz umekuwa mwanaume?
We binti acha uhuni au mnasagana???
Hahahaha 😂 sounds ya kike kabsaa muhuni wewe ice cream na chocolate ndiyo zipo kichwan kwa mademuMkuu hapana hapana ila nina password za kila kitu chake..
Kuhusu vyombo hapana kwa kweli alafu ni mshangazi flan ukimuona unaweza sema ni mtu na heshima zake kumbe ndani ni mtu mwingine kabisa an...
Kuhusu pocket pesa ipo mkuu kila kitu kipo ndani hapa
Kila day yanaletwa ma ice cream yale sijui ni machokoleti hata sijui ila ni matamu hatari....
Acha uhuni wako wewe nakujua vzrAstakafillah astakafillah astakafillah 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁
kijijini kwetu hiyo inaitwa kuangikiwa na nyumba, dah,Mkuu hapana hapana ila nina password za kila kitu chake..
Kuhusu vyombo hapana kwa kweli alafu ni mshangazi flan ukimuona unaweza sema ni mtu na heshima zake kumbe ndani ni mtu mwingine kabisa an...
Kuhusu pocket pesa ipo mkuu kila kitu kipo ndani hapa
Kila day yanaletwa ma ice cream yale sijui ni machokoleti hata sijui ila ni matamu hatari....

Acha ucenge wewe kijana 😁😁😁Hahahaha 😂 sounds ya kike kabsaa muhuni wewe ice cream na chocolate ndiyo zipo kichwan kwa mademu
Inajisafisha yenyewe tu , mna hangaika sana mnapoteza ka harufu ka asili😁Khaaa! Yaani siku nzima ipite bila kusafisha?😂🙌
Ndugu mbunge wewe haujawahi kunasa?kijijini kwetu hiyo inaitwa kuangikiwa na nyumba, dah,
utaskia mzee anakuuliza naskia yule rafiki yako wa kiume mliosoma pamoja kaangukiwa na nyumba kwa fulani?
hiyo maana yake kijana kanasa kwa lishangazi, kama hivyo yaan dah![]()
Khaa! Hiyo harufu ndio inaboaInajisafisha yenyewe tu , mna hangaika sana mnapoteza ka harufu ka asili😁
Babu ukitaka kujua mimi sio kijana wa ovyo hauwezi amini sijakuelewa kabisa.Hahaha..........huenda nayo ni sababu
Ama ninyi Vijana wa hovyo mnatumia njia mbili at per, yaani unaendesha kilomita 1 lami kisha unaenda barabara ya Vumbi kisha mnarudi barabara ya Lami tena 🙌
Nimecheka kwa sauti mkuu...kijijini kwetu hiyo inaitwa kuangikiwa na nyumba, dah,
utaskia mzee anakuuliza naskia yule rafiki yako wa kiume mliosoma pamoja kaangukiwa na nyumba kwa fulani?
hiyo maana yake kijana kanasa kwa lishangazi, kama hivyo yaan dah![]()
Hakuna harufu mbaya kama unakula vyakula vya asili na maji ya kutoshaKhaa! Hiyo harufu ndio inaboa