Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #221
Hayo mnayoongea wewe na graham ni sawa πππKipi cha hovyo hapo mkuuπππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mnayoongea wewe na graham ni sawa πππKipi cha hovyo hapo mkuuπππ
Nyama, maziwa yanashida gani mkuu? Ila Ukiwa na mambo ya hovyo kichwani unaweza kutafsiri kivingineπππHayo mnayoongea wewe na graham ni sawa πππ
Aaaaaah wapi unaongea kwa mafumbo hapo sheeenziiii kabisa πππNyama, maziwa yanashida gani mkuu? Ila Ukiwa na mambo ya hovyo kichwani unaweza kutafsiri kivingineπππ
Kuweni na huruma na Wazee πEt graham mtu na heshima zake toka lini πππππ
Mzee hovyo haijawahi tokea jf hapa πππKuweni na huruma na Wazee π
Kwa nini tupe sababuπYes! Mtu anizidi miaka kuanzia 10 basi mimi najihisi nipo nyumbaniβΊοΈ
π€£π€£ Dah Bora nisingeomba ushauri wa majina upya enzi hizo, ila wapowenye harufu za asili mkuu usitukande hivyo mkuu π€£π€£Hahaha...................Zamani Wanawake wote tulikuwa tukiwaita Kwa Majina mazuri mazuri tu mathalani Malikia, mrembo, Malaika, njiwa n.k yaani Majina ambayo yeye mwenyewe Mwanamke akisikia hata kama alikuwa ana ratiba ya kukunyima basi automatic atajikuta analegeza masharti π€
Sasa nyie Kwa Majina haya ya Mshangazi, akisikia si ataghairi kukukubalia π
Kingine Wanawake wa enzi zetu walikuwa PisiKali kweli, pamoja na kwamba walikuwa hawatumii lotion/perfumes za gharama walikuwa wananukia ile harufu yao ya asili.
Sio nyie hawa wa kwenu, ambao Kila Siku mnawaandikia nyuzi za malalamiko kuhusu harufu za KisamakiSamaki ππππππ
Mbona enzi zetu, Bibi zenu walikuwa hayaanguki Chini kama hivyo?ππBabu maziwa siku hizi tumemwachia paka , tunazingatia nyama na mboga za majani kwa wingi .
Hapana, wanao sana tu!Aina hii ya vijana Wana mchango mdogo sana katika Taifa!
(In Mwendazake Voices)
ππ
Tunaishi mara moja ndgu angu ππππMali na kila kitu so mapenz mapenz na kipato vyt Vina nafc tofauti anaweza akalipa vicoba akakupa password kumbe mwenye mirathi kamficha nyumbani
Ili nipate baba kaka rafiki mchumba kwa mtu mmojaKwa nini tupe sababuπ
πππππ Wewe wewe nakuona nakuonaaaa..π€£π€£ Dah Bora nisingeomba ushauri wa majina upya enzi hizo, ila wapowenye harufu za asili mkuu usitukande hivyo mkuu π€£π€£
Ila Hawa Gen Zedi Hawa Mungu atusaidie Kwa kweli π€£
Mwenye majina sisi tunawaitakwa lugha ya Meli tu, Hayao Hayao ya kwenu sisi zinawewa slang za kina Poor π§
Your genius mkuu safiii sanaHapana, wanao sana tu!
Wanapotulizwa na mishangazi nd'owanapata ari ya kufanya kazi kwa morali.
Nafikiri vyakula babu , vyakula vya zamani vilikua ni bora sna na vya asili bila madawa mengi ,kwa fikra zangu duni nahisi hii inaweza changia kiasi fulani.Mbona enzi zetu, Bibi zenu walikuwa hayaanguki Chini kama hivyo?
Bibi yenu pamoja na kufikisha juzi miaka 67 bado yanaonekana kama ya saa 6, hii inafanya Babu yenu sikauki nyumbani πππππ
Mnampamba sana babu huyo... Babu wa hovyo πππNafikiri vyakula babu , vyakula vya zamani vilikua ni bora sna na vya asili bila madawa mengi ,kwa fikra zangu duni nahisi hii inaweza changia kiasi fulani.
Hahahaha............poleni Mkuuπ€£π€£ Dah Bora nisingeomba ushauri wa majina upya enzi hizo, ila wapowenye harufu za asili mkuu usitukande hivyo mkuu π€£π€£
Ila Hawa Gen Zedi Hawa Mungu atusaidie Kwa kweli π€£
Mwenye majina sisi tunawaitakwa lugha ya Meli tu, Hayao Hayao ya kwenu sisi zinawewa slang za kina Poor π§
Hii ya sabuni huwa naipinga sana babu , hatakusafisha safisha kila mara huwa siungi mkono kabisa πHahahaha............poleni Mkuu
Wahimizeni Wapenzi wenu GenZ waache kutumia sabuni za kemikali kusafisha Ikulu zao
Lakini waache kutumia tishu badala ya Maji
Huenda hilo linachangia, bado nafanya utafiti kujua kama zoezi la kunywa Maziwa linachangia ama vipiNafikiri vyakula babu , vyakula vya zamani vilikua ni bora sna na vya asili bila madawa mengi ,kwa fikra zangu duni nahisi hii inaweza changia kiasi fulani.