Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Mchango! Simshangai poor brain kupenda mishangazi cz hata mimi agemate wangu siwaelewagi napenda wakaka wa 35+ hukooโ˜บ๏ธ
Astakafillah astakafillah astakafillah ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜
Kumbe chama moja oooooooh ooooh ....

Sasa najihisi nipo uwanja wa nyumbani ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Babu yako ni Mpenzi sana wa kunywa Maziwa, ila hayo nahisi nitashindwa ๐Ÿ˜œ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜Daah Mungu anisamehe kwa kukuita wewe mzee wa heshima zake .....
 
Yes! Mtu anizidi miaka kuanzia 10 basi mimi najihisi nipo nyumbaniโ˜บ๏ธ
Woyoooooo woyooooooooooooooooooooooooooooooooooo
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰
Oaaa weeee nipe ๐Ÿคœ๐Ÿคœ๐Ÿคœ๐Ÿค›๐Ÿค›๐Ÿค›
 
Back
Top Bottom