Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Ila in serious we kijana wa hovyo sana 😁😁😁😁😁😁😁😁
no,
ni visa na mikasa pekeyake ndiyo ya hovyo hovyo gentleman,

ningekua wa hovyo hawa wananchi wangeng"ang"ana na mimi kweli na kunipatia nafasi nifanye kazi yao vizuri na kwa bidii kweli?

wa hovyo wanakataliwa kule kwenye kura mpaka aibu aisee, nawashindaga tu kirahisi tu, hata mishangazi hawewezi kupata kwakweli kama ulivyobahatisha wewe dodo chini ya mnazi, dah?

wana kuonea wivu unavyofaidi mbususu na pocket money pia unapewa dah, this world is not fair :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom