Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
unajiamini sana we mkula vikubwaVingi mno na bado naruka 😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajiamini sana we mkula vikubwaVingi mno na bado naruka 😁😁😁
uchokozi huuUniseme
Huyo ni dada wa chini ya kitovu tu ,huwezi mkosa kwenye nyuzi za hivyo bwashee.Hovyo
si mchezo,Sema hiyo ilikua fantastic sana mkuu aaaaah hatarrrr hiyo 😁😁😁😁

Mi nakula tuu mi najiweza mdadaunajiamini sana we mkula vikubwa
Huyo sio mshangazi mkuu , wewe ulikula mtu mwenye uhitaji ndugu mheshimiwa ,bubu😁si mchezo,
ila sasa kitu kimoja kilichokua amezingi sana, na nilikua naabika kichizi, muda bubu akinifuata nyumbani twende tukachunge pamoja, hizo kelele zake babu dah, kama amri vile, halafu haoni aibu kunionyesha ishara za kugegedana, ila mim nilikua naona so kichizi yaa, hasa ukizingatia mimi ni handsome boy mpaka leo, dah![]()
Na ule upwiru wahuni hawawazi wanakaa jikoni Kwa watuUnakuta mmama wa kipare anasukuma chapati kabinuka kama kigoda ,shanga 72 kiunoni , unatoboaje kwa mfano😁
Ndivyo ilivyo mkuu😁😁Na ule upwiru wahuni hawawazi wanakaa jikoni Kwa watu
kwahiyo gentleman,Huyo sio mshangazi mkuu , wewe ulikula mtu mwenye uhitaji ndugu mheshimiwa ,bubu😁

Kitu cha skanka hiki🤣🤣🔥🔥💔Nyamwila255 😂😂😂🔥 sijavuta bangi mimi
Hata kama ni ww jeuri ya kumweka tatu bila Mali ambayo huhudumii unatoa wapi? Labda zamani kidogo kipind sijielewi sanaVijana wakichaga hamuwezi pata mishangazi mna macho mabaya ya pesa bwashee😁😁😁
Yani mshangazi unatakiwa uwe na pesa na upaja wa maana sasa wewe upo machungani na bibi bubu hauna hata mia , unasema mshangazi 😁😁😁😁😁😁kwahiyo gentleman,
unadhani huo mshangazi alipo nasa huyu kijana wetu mdogo kabisa ambae sote tuna mpenda sana Poor Brain hakua au hana uhitaji?![]()
bubu alikua na pesa ndefu gentleman,Yani mshangazi unatakiwa uwe na pesa na upaja wa maana sasa wewe upo machungani na bibi bubu hauna hata mia , unasema mshangazi 😁😁😁😁😁😁

😁😁😁😁Ndugu m bunge umenifanya nicheke sana ,mlikua mnakunywa mangure nini?bubu alikua na pesa ndefu gentleman,
hiyo ming"ombe ya maana ilikua yakwake binafsi, alinibebea hadi maziwa, mihogo, viazi au maboga ili nipate chochote kitu machungani, pesa haikua ya maana sana wakati huo si kama sasahaivi,
ila minadani tukienda nilikua nakula minyama na kunywa mno tukiwa pamoja na bubu, ila kwa kujificha na aibu sana watu wasi nione nae ila kelele zake ziliniumbua sana![]()
ni hivi hivi vinywaji vya kawaida tu😁😁😁😁Ndugu m bunge umenifanya nicheke sana ,mlikua mnakunywa mangure nini?

Mnadanganywa sana dunia hii hakuna cha limbwata zaidi ya mauno , unakuta mtu kashikwa hapo watu wanasingizia limbwata 😁Sijui kuhusu limbwata aisee! Siwezi kuja kulitumia