Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Sema hiyo ilikua fantastic sana mkuu aaaaah hatarrrr hiyo 😁😁😁😁
si mchezo,

ila sasa kitu kimoja kilichokua amezingi sana, na nilikua naabika kichizi, muda bubu akinifuata nyumbani twende tukachunge pamoja, hizo kelele zake babu dah, kama amri vile, halafu haoni aibu kunionyesha ishara za kugegedana, ila mim nilikua naona so kichizi yaani, hasa ukizingatia mimi ni handsome boy mpaka leo vijijini na mijini , dah :pulpTRAVOLTA:
 
si mchezo,

ila sasa kitu kimoja kilichokua amezingi sana, na nilikua naabika kichizi, muda bubu akinifuata nyumbani twende tukachunge pamoja, hizo kelele zake babu dah, kama amri vile, halafu haoni aibu kunionyesha ishara za kugegedana, ila mim nilikua naona so kichizi yaa, hasa ukizingatia mimi ni handsome boy mpaka leo, dah :pulpTRAVOLTA:
Huyo sio mshangazi mkuu , wewe ulikula mtu mwenye uhitaji ndugu mheshimiwa ,bubu😁
 
Yani mshangazi unatakiwa uwe na pesa na upaja wa maana sasa wewe upo machungani na bibi bubu hauna hata mia , unasema mshangazi 😁😁😁😁😁😁
bubu alikua na pesa ndefu gentleman,
hiyo ming"ombe ya maana ilikua yakwake binafsi, alinibebea hadi maziwa, mihogo, viazi au maboga ili nipate chochote kitu machungani, pesa haikua ya maana sana wakati huo si kama sasahaivi,

ila minadani tukienda nilikua nakula minyama na kunywa mno tukiwa pamoja na bubu, ila kwa kujificha na aibu sana watu wasi nione nae ila kelele zake ziliniumbua sana :pulpTRAVOLTA:
 
bubu alikua na pesa ndefu gentleman,
hiyo ming"ombe ya maana ilikua yakwake binafsi, alinibebea hadi maziwa, mihogo, viazi au maboga ili nipate chochote kitu machungani, pesa haikua ya maana sana wakati huo si kama sasahaivi,

ila minadani tukienda nilikua nakula minyama na kunywa mno tukiwa pamoja na bubu, ila kwa kujificha na aibu sana watu wasi nione nae ila kelele zake ziliniumbua sana :pulpTRAVOLTA:
😁😁😁😁Ndugu m bunge umenifanya nicheke sana ,mlikua mnakunywa mangure nini?
 
Back
Top Bottom