Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #461
Mkuu jana nilipotea humu yaani uwezi amini siki za work kama hizi mda wa usku huwa situlii yaani mtu anataka afanyiwe massage tuu kila mda an..Ko umezama yaaniπ
Babeka, ko umeenda kumpiga backup mmama wa watu π, acha wiziNa na focus kweli siombi kuachwa ila hata ikitokea nina backup kubwa sana nimefanya aiseee πππππππ
Mamy mybe kuna kitu ujui...Aisee. Hongera sana π
Hahaa π, kuna msemo unasema "Kizuri kula na wenzako", kina Bantu Lady, Leejay49 , Etugrul Bey wanatimiza hili kwa kula na sisi Vocha, wewe unatimizaje huo msemo πMkuu jana nilipotea humu yaani uwezi amini siki za work kama hizi mda wa usku huwa situlii yaani mtu anataka afanyiwe massage tuu kila mda an..
Yataka moyo huku ujue ππππ
Siibi mimi mkuu ila ni yeye tu..Babeka, ko umeenda kumpiga backup mmama wa watu π, acha wizi
π π π π π Ongeza na ubunifu. Utakusaidia π kijana umejipata hadi unatoa Ushuhuda ujue Mambo ni moto.Mamy mybe kuna kitu ujui...
Mi mtoto wa mbagala(majimatitu) kuna life ambalo nimepitia so katika moja na mbili huwa nikipata chance kama hizi huwa nafanya kweli...
I care
I protect
I pretend
Mpaka sasa ubao wangu na yeye unasoma 3-2 an the way na mtreat kuniacha gafula nitaamini uchawi upo ππππ
We pumbavuuu et πππππ..Hahaa π, kuna msemo unasema "Kizuri kula na wenzako", kina Bantu Lady, Leejay49 , Etugrul Bey wanatimiza hili kwa kula na sisi Vocha, wewe unatimizaje huo msemo π
Haya bhan mkubwa, we endelea kurest in Mos Loveπ enjoy your LoveSiibi mimi mkuu ila ni yeye tu..
Mkuu kuna watu unaweza kuwa unawaogpa huko mtaani ukaona ni wamama na heshima zao ila kiuhalisia upande wa hisia wapo lonely sana mkuu weee acha tuu
Amna ata, sikumaanisha vile, yaani nilimaanisha tugawane hizo backups, pia nilisema kwa utani tu chukulia poaWe pumbavuuu et πππππ..
Kwanza kuna jamaa anataka picha et serious....
Huo msemo wa kizuri kula na wenzako unapingwa na ule kikulacho kinguoni mwako..
Mkuu siwezi fanya huo ujinga kwanza hapa mjengoni hata wana wangu hawatimbi zaidi anakujaga ni mdogo angu tuu tena huyu ni wa kike.
Mr pua kanambia wamama wanahitaji msaada wa kimapenziPuwa bleini mmeamkaje na jimama lakoπ€£πView attachment 3074698
Yqaah kiukweli nilipitia magumu kwa hawa watu..π π π π π Ongeza na ubunifu. Utakusaidia π kijana umejipata hadi unatoa Ushuhuda ujue Mambo ni moto.
Kwa hiyo...?Mr pua kanambia wamama wanahitaji msaada wa kimapenzi
Amsaidie tu ila asiwe anampiga piga atamuumizaKwa hiyo...?
Thank you blood kama upo hapa jijini basi usiache kunichek bloodHaya bhan mkubwa, we endelea kurest in Mos Loveπ enjoy your Love
Sio msaada wanahitaji furaha wanaitaji matumaini wanahitaji penzi moto motoMr pua kanambia wamama wanahitaji msaada wa kimapenzi
Mzima wwKwa hiyo...?
Hahaa πSio msaada wanahitaji furaha wanaitaji matumaini wanahitaji penzi moto moto
Komaa nae na ufanye vitu vya maana uje kutupa mrejesho hapa. Ila kuwa makini sanaYqaah kiukweli nilipitia magumu kwa hawa watu..
Mana nilikua nikipata mtu wa namna hii anaishia kunipa ela za chai tu alafu hakuna cha maana nafanya..
Mara ya mwisho nilipata huyo ant flan yeye akanitafutia na kazi kabisa ila baada ya kwenda chuo tukazinguana mana nilipata vidada.
Sasa now nimekuja field huku huyu maza aiseee hapana sina mengi ila i swear hapa nimefika nimefika nimefikaaaaa
Niko pw...Mzima ww