Kweli ninakubaliana na hoja za Wanayanga kuwa wameweka Rekodi ya kufika Nusu Fainali na sasa wanaikaribia Fainali ya Mashindano CAF Confederation.
Nikiwa natumia ubongo huo huo kukubali hayo, nikiwa na akili timamu, na kwa mantiki ile ile, nakataa Yanga sio Bingwa mara 29 kwa sababu Ligi Kuu (Premier League) haina misimu 29 tangu ianze. Zamani hatukuwa na Premier League tulikuwa na Ligi Daraja la kwanza.
Mambo mengine yote yaliyobaki ni propaganda. Tuishi humo.
Nikiwa natumia ubongo huo huo kukubali hayo, nikiwa na akili timamu, na kwa mantiki ile ile, nakataa Yanga sio Bingwa mara 29 kwa sababu Ligi Kuu (Premier League) haina misimu 29 tangu ianze. Zamani hatukuwa na Premier League tulikuwa na Ligi Daraja la kwanza.
Mambo mengine yote yaliyobaki ni propaganda. Tuishi humo.