Nitahakikisha anarudishwa kifungoniHahahahahhahahahhahhh! akirudi kifungoni kutakuwa na battle Kati ya GENTAMYCINE na MINOCYCLINE ..
Wasomi wa Cuba tumekatazwa kujihusiha na magomvi ya watu binafsi tutakaa pembeni kushudia mtanange..
Haha hivi yule wa zenj ni imara nae au sio wa hapo unapopaita imara😆Wakati majeshi ya kisasa yanasifiwa kwa kua na modern technology na precision equipment na kulinda raia wake popote walipo duniani, hapa Kuna jeshi linasifiwa kwa kupiga wanawake, wazee na watoto wanaopashwa kuwalinda wasio na hatia.
Mtuhumiwa Yuko polisi, badala ya kumfuata huko polisi wanakuja kupiga wanawake na vikongwe.
Halafu MTU anajitoa ufahamu kabisa anasifia a bunch of hooligans.
Wangekua wanaume kweli wsngemfuata mtuhumiwa kwa jeshi imara la polisi ndio wangejua hawajui na maji wangeita mma.
Cuba ile ya kizazi cha 1975-80 ya vipanga sio ya vijana wa hovyo siku hizi.Umesoma cuba gani?? Unashindwa kuelewa vitu vidogo kama hv!!!
Ipo hv Genta ndiye MINOCYCLINE
Maria Sarungi anapenda kukosoa hapendi kukosolewa.Popoma au Jongolo
Mfanano na Martin Wa Twita na Kibibi Kigalula Maria wao kukosolewa hapana aipooo
Tulia mimi ndiye kiongoz wa waliosoma cubaCuba ile ya kizazi cha 1975-80 ya vipanga sio ya vijana wa hovyo siku hizi.
Neno "Cuba" katika comment yangu inamaana kubwa kwa wale waliosoma miaka hiyo maana ni code word ikiashiria kuna something fishy or strange..
MINOCYCLINE mwanangu alikuwa shamba amejichimbia analima mahindi kuchaji simu mpaka ukodi uendeshe baiskeli mpaka town kilometa nyingi.Naona sasa karejea mjini baada ya mavuno anaanza kusumbua mitandaoni.Umesoma cuba gani?? Unashindwa kuelewa vitu vidogo kama hv!!!
Ipo hv Genta ndiye MINOCYCLINE
Yaani umeshindwa kubadilisha 'staili ' ya uandishi wako...angalia hizo herufi kubwa na kuweka mabano.Akaunti umebadili ila kuandika ni mtu huyo huyo.Acha utoto mkuu GENTA.Kuna Member Mmoja ( maarufu sana hapa Jamiiforums ) ila nimemsahau tu Jina amekuwa akianzisha Threads nyingi tu za Kuwalaumu Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Wiki iliyopita Kukamata Watu, Kuwatesa na Kuwapiga baada ya Raia wa Kawe Dereva Bajaji Kumuua kwa Kumchoma na Kisu Moyoni Askari wa JWTZ ( Luteni Kanali ) kutokana na Bangi zake Kichwani.
MINOCYCLINE nawalaumu mno Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa kuishia Kuwatesa na Kuwajeruhi tu hao Raia na baadae Kuwaachia huru Wakipumua kwa kuwaonea Huruma.
CDF Gen. Mkunda tafadhali Wanajeshi wako wasiwaonee Huruma kabisa Raia ( hasa wa Kawe ) na Kwingineko pale Raia wakikosea kwa Makusudi na Wakiwadhuru Wanajeshi wako bali naomba wawe Wanawapiga Kikatili na ikibidi wawe wanamaliza Shughuli kabisa ili Raia washikwe na Adabu na wajifunze Kuliheshimu Jeshi na Kuwaheshimu Wanajeshi ambao wamejitoa Mhanga Kuwalinda na Kulinda Mipaka yote ya Tanzania.
MINOCYCLINE kama Mtetezi Mwandamizi wa Wanajeshi ( JWTZ ) na Shabiki wa Vitendo vyote vya kutia Adabu vinavyofanywa na Wanajeshi ( hasa MP ) kwa Raia nasema iwe mwanzo na mwisho Kulikosoa na Kulichokoza Jeshi Bora Afrika ya Mashariki na Kusini mwa Afrika la JWTZ na msipobadilika mtastahili tu Kukamatwa, Kupigwa, Kuteswa na hata Kuwahisha nao Sakafuni / Udongoni vile vile.
AahaaaaaGenta amepagawa tumwombee sana
Toka aswekwe ndani Lugalo dishi limeyumba
Mfanano wa Ndg Yetu wa Mkolani Sec
Jamaa nilisikia amehukumiwa jela miaka 30Aahaaaaa
Hivi alishaenda wapi yule jamaa?
Tena wasiishie tu Kuwapiga bali wamalize na Shughuli kabisa hadi Raia mkome. Yaani mnaua Afande ( tena Luteni Kanali ) halafu mnataka mchekewe tu? Mpigwe kabisa.
Kuna uzi wake humu?Jamaa nilisikia amehukumiwa jela miaka 30
Don Kisandu Tajiri wa mtajiri mkwe wa Barack Obama
Sijui kwanini yule muda mwingine anazo hoja za msingi kabisa. Lakini mkibishana kidogo anakuwa mbogo. Jamaa hapendi kukosolewa kabisa.
Kitu kinachomfelisha ili asijulikane akitumia ID nyingine ni Mwandiko tu.Kaja na Id nyingine kashindwa kubadilisha muandiko[emoji134][emoji1787][emoji134][emoji1787]
Zipo mkuuKuna uzi wake humu?