Nakubaliana na Mange Kimambi kuhusu wasanii wa Bongo


Hapana! Hapana!
 
queenkami, mambo? Uliuwasha motto siku zile afu ukakimbia, mbaya sana wewe.

Hamna sikukimbia shosti.
Siku hiyo nataka kuingia kuchangia nikakuta umefungwa.
Ila nili mind sijui hata kwanini waliufunga uzi wangu.
 
Last edited by a moderator:
Huyo anaeshauri angejishauri na biashara yake kwanza ilivyo na madunda na ndio ashauri watu.

Yaani atuwekee yanayomshinda wazi afunze jamii. Sio kusema wengine kila wakati kama vile yeye hana makosa au maanguko katika biashara.
 
Amemuongelea Diamond ila katafuta kutumia Kiba hakuna zaidi. Kama hakumtaka kumgusia Diamond asingemwandika kabisa ikawa kiba akaleta ya Diamond later.
 
Haya tumekusikia mtoto wa Mange, kumbe na wewe pia wamekucheketua...!
 

Mkuu ngoja nikuache.
Ila ushauri wangu kwa wadau......wakati mwingine jifunzeni kuwaelewa wasanii na nyimbo zao badala ya kuwatafutia kasoro vile tu hawajameet matarajio yenu/ ya wengi.
 
Mkuu ngoja nikuache.
Ila ushauri wangu kwa wadau......wakati mwingine jifunzeni kuwaelewa wasanii na nyimbo zao badala ya kuwatafutia kasoro vile tu hawajameet matarajio yenu/ ya wengi.

Lol wakiwaita wawe mameneja wao hawatawapondea watawapa moyo ili wafanye vizuri next time.

Kila mtu anataka kuwa bosi wa watu wa TZ yaani wamsikilize yeye tu aaemaye na kukazania points badala ya kusoma waonavyo wengine nakusepa.
 

Hala hala dada...
Msiwe mnapendelea kutuhumu.

Wengi wetu humu ni wadau wa muziki and we are here to find whats right and not who is right, from so goes the meaning of discussion hata kama maada imeoriginate kwa Mange.
 
Amemuongelea Diamond ila katafuta kutumia Kiba hakuna zaidi. Kama hakumtaka kumgusia Diamond asingemwandika kabisa ikawa kiba akaleta ya Diamond later.

Umemwoma eee! Diamond anamnyima sana raha
 
Huyo anaeshauri angejishauri na biashara yake kwanza ilivyo na madunda na ndio ashauri watu.

Yaani atuwekee yanayomshinda wazi afunze jamii. Sio kusema wengine kila wakati kama vile yeye hana makosa au maanguko katika biashara.

Anajifanya mama ushauri...anashauri kila kitu yani hadi ufundi wa umeme.
 
Huyo mtoa mada (kimambi) yupo sahihi kabisa,ila watu kwavile wanamchukia huyo mdada ndio maana wanaponda hoja zake.

Binafsi hizi nyimbo mbili za Ally Kiba (chekecha cheketua) na Diamond aliowashirikisha P square sijaona jipya,nilizidownload baada ya kusikia walichoimba nikazifuta hapohapo,hakuna jipya kwa kweli na bongo fleva utamu wake unapungua.

Big up Mange
 

Kama ni hivyo, hauna uelewa wa kutosha kuhusu dira ya jambo flani. Sitakusaidia kwa hili. I'm sorry
 
Mkuu ngoja nikuache.
Ila ushauri wangu kwa wadau......wakati mwingine jifunzeni kuwaelewa wasanii na nyimbo zao badala ya kuwatafutia kasoro vile tu hawajameet matarajio yenu/ ya wengi.
Huu ni mtazamo wangu tu, nnaweza nisiwe sahihi aslimia 100, sababu mwisho wa siku unaweza kuta mashabiki hicho ndio wanachopenda so siwezi kuwa nna akili mpaka ya kujua watu wengi wanataka nini. Nikupe mfano zamani kundi la Daz Nundaz wakati wanaanza game walienda kwa Majani akawafukuza akawaambia hawezi kurekodi kwaya wakaimbe kanisani jamaa wakatoka wakaenda kwa Mika Mwamba ikawa kila wanachorekodi ni wimbo wa taifa, mwisho wa siku majani akawaita mwenyewe wafanye biashara.

Mwisho wa siku point yangu ni kuona wasanii wanafanya muziki unaoishi na unaosikilizika na wapanue wigo kwenye kufanya music wao. Muziki unapokuwa sio msanii tu inabidi akue ata watu wakumsaidia inabidi waongezeke, bila hivyo mambo yata mwelemea.
 
Kama ni hivyo, hauna uelewa wa kutosha kuhusu dira ya jambo flani. Sitakusaidia kwa hili. I'm sorry

Mkuu zinc hauwezi kunielewesha chochote kuhusu dira ndugu yangu acha kejeli tusifike huko..wewe mtot wa kiume unaetongoza kina dada hapa jamiiforums mnafanya yenu kisha wakikukimbia unakuja kuwaanzishia thread kuwatukana na kuwadhalilisha uwezi kunifunza chochote...Jifunze kwanza ku-manage feelings zako then ndio utaweza kunifundisha mimi lolote.
 
Last edited by a moderator:
Jambo moja la msingi amezungumza, Ali kiba sasa anategemea bifu.

Mkuu inaelekea una chuki sana na kiba itakua alilala na mamako..

Kwasababu kwa wimbo wa mwana huwezi kusema kiba anategemea bifu..

Ni kweli huu wimbo mpya ni wa kawaida lakini unaendana na soko la sasa..

Ila wimbo wa MWANA ni bomb,hakuna msanii anaweza piga wimbo kama wa mwana hapa TZ

Punguza wivu wa kike
 


Umeona mkuu..

Alafu hawajui next single ya Diamond ni mduara kamshrikisha khadija kopa..

Ndo mziki ulivo sasa toa watu wanachotaka sio unachoweza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…