Mtoto wa kiume kuwa na CHUKI towards MWANAUME mwenzako...
Mleta Uzi huwa "anajifanya" anaujua sana Mziki wa Bongo, lakin cha kushangaza Kashindwa kugundua kuwa hiyo paragraph ya kwanza aliyoiquote kuhusu "music and identity" ni ya "KIJINGA" sana..identity katika Music ni kitu cha kwanza ambacho msanii yoyote is ought to Consider!! ndo maana since 90's mpaka leo tones na flows za kina Jigga, Nas, Snoop Dogg, Robert kelly, Usher, DMX etc, Now kuna kina Pharrel, Breezy, Weezy, Tyga, Drake, John legend, Jason Derulo, katy perry, T.I, Nelly Etc wameshaEstablish they're own identity, kias kwamba ukiflow au ukipita mule wanapopita u're in Trouble...
but mtu anakuja hapa na kusupport kuwa Ali kiba's Music umekuwa so identical!!!
from Run It to Loyal, Breezy anachofanya ni kubadilika kulingana na soko linavyotaka, huwez kumpata breezy wa Gimme that sahiv, au huwez kumpata Robert kelly wa The world's greatest sahiv,( ngoma ya Robert kelly mpya mmeisikia)..
Watu wanaenda na soko sahiv linataka nn, dunia inataka kuskia nn, siku hiz Drake anauza sokon zaid ya Nas Escober, Kitu ambacho mabishoo wa hatari kina MASE walishindwa (kuyapita mauzo ya kina Nas kwa single na Albums kwenye Billboard)...music ni biashara sahiv, unataka kiba atoe MackMuga sahiv??? soko la Music sahiv linataka hivyo??? asilimia kubwa ya mashabiki wa bongoFeva ipo wapi???
M-bongo ukijaribu kupinga ngoma kama Wiggle ya Jason, Roar, ngoma za Rich Gang (kina Young thug and Co.) kuwa hazina maana yoyote, anaweza akashambulia kwa matusi, lakin yupo free kuponda ngoma za kina Diamond na Kiba au Barnaba au Weusi, kuna haja gani ya kuponda ngoma za kibongo kuwa hazina maana wakat, Alejandro ya LadyGaga ikipigwa Club unacheza???
Aim ya Kiba ipo katika BIASHARA, acha Kazi yake ya Mziki imlipe..Coz Music ni Biashara siku hizi..hicho kitu kila siku NIKKI WA PILI anakisema, kama umeamua kufanya Music biashara,fanya iwe Biashara kweli!!!