Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Ndugu yangu, huyo jamaa kwa matusi hana mfano wake na matusi yake ni lazima ayaelekeze kwa mama zetu! Huyo jamaa ameshawahi kumuita mama angu ni changu doa lakini kwavile sie wengine kupigwa huwa hatuogopi, baada ya kumvumilia sana hatimae nilishasema enough is enough! Sasa hapo ndipo utakavyomuona ni mtu wa namna gani lakini matokeo yake mashbiki wa Kiba kila siku hulalamika kwamba mashabiki wa Diamond wana matusi huku wakiacha kujichunguza wenyewe!ndugu yangu huu ukiba na udiamond usitufanye tuwakosee heshima mama zetu,sidhani kama mashabiki wa ukweli wa kiba wako na tabia kama yako....hata huyo kiba akiona hii comment yako atakataa wewe sio shabiki wake bali ni muhuni tu wa mtaani huko unaetumia jina la kiba kumchafua.
badilika son!
Jambo moja la msingi amezungumza, Ali kiba sasa anategemea bifu.
c.c atotoMkuu inaelekea una chuki sana na kiba itakua alilala na mamako..
Kwasababu kwa wimbo wa mwana huwezi kusema kiba anategemea bifu..
Ni kweli huu wimbo mpya ni wa kawaida lakini unaendana na soko la sasa..
Ila wimbo wa MWANA ni bomb,hakuna msanii anaweza piga wimbo kama wa mwana hapa TZ
Punguza wivu wa kike
[/COLOR]
Mkuu zinc hauwezi kunielewesha chochote kuhusu dira ndugu yangu acha kejeli tusifike huko..wewe mtot wa kiume unaetongoza kina dada hapa jamiiforums mnafanya yenu kisha wakikukimbia unakuja kuwaanzishia thread kuwatukana na kuwadhalilisha uwezi kunifunza chochote...Jifunze kwanza ku-manage feelings zako then ndio utaweza kunifundisha mimi lolote.
Ndugu yangu, huyo jamaa kwa matusi hana mfano wake na matusi yake ni lazima ayaelekeze kwa mama zetu! Huyo jamaa ameshawahi kumuita mama angu ni changu doa lakini kwavile sie wengine kupigwa huwa hatuogopi, baada ya kumvumilia sana hatimae nilishasema enough is enough! Sasa hapo ndipo utakavyomuona ni mtu wa namna gani lakini matokeo yake mashbiki wa Kiba kila siku hulalamika kwamba mashabiki wa Diamond wana matusi huku wakiacha kujichunguza wenyewe!
ndugu yangu huu ukiba na udiamond usitufanye tuwakosee heshima mama zetu,sidhani kama mashabiki wa ukweli wa kiba wako na tabia kama yako....hata huyo kiba akiona hii comment yako atakataa wewe sio shabiki wake bali ni muhuni tu wa mtaani huko unaetumia jina la kiba kumchafua.
badilika son!
Jambo moja la msingi amezungumza, Ali kiba sasa anategemea bifu.
Nilikutukana PM kwavile mie nisingeweza kukutukana hadharani kama ambavyo ulifanya wewe... ingawaje nilikuambia mambo ya kawaida kabisa, nini kilifuata kama hukusema mie ni shoga niliezaliwa na mama kahaba? Wewe mama angu unamjua hadi useme kahaba? Lazima ukubali wewe jamaa una maneno machafu na matusi na matusi yako kila wakati lazima uwahusishe wazazi! KUna maana gani ubishi wa JF unafikia kuwaingiza hadi mama zetu waliopo njiani?? Ni mara ngapi wewe ulishawahi kunitukana, tena mara zote matusi yako ukimuhusisha mama angu mzazi na mara kibao nikakuonya hadi pale niliposema enough is enough? Na kwa kuthibitisha hilo, ndo hapo data amemzungumzia kiba lakini kinyume chake unasema itakuwa amelala na mama ake? Hivi huwezi kujenga hoja bila matusi? Na kama umezoea matusi, huwezi kutukana bila kuhusisha mama za wenzako?Mkuu..
Hivi mimi na wewe nani alimtukana mwenzake.?
Ni screen capture pm zako ulizonitukana nizilete hapa.?
Kama mimi nilikutukana kwanini wewe ndo ulipewa ban..
Mkuu Chinga One hii ishu yangu na data iache kama ilivo..
Huyu jamaa alinitukanaga tusi moja kwenye thread inayohusu kiba kumfunika diamond kwenye fiesta..
Lile tusi lilifanya niwaze siku nzma umuhimu wa mimi kuwa JF lakini nikavumilia..
Nikaliweka kichwani,hvo hii ni revenge,nadhani yeye anaweza kuwa amesahau lakini mimi kila nikionaga jina lake kwenye thread yoyote roho inauma..
So usijudge kitu bila kujua sababu..
Nilikutukana PM kwavile mie nisingeweza kukutukana hadharani kama ambavyo ulifanya wewe... ingawaje nilikuambia mambo ya kawaida kabisa, nini kilifuata kama hukusema mie ni shoga niliezaliwa na mama kahaba? Wewe mama angu unamjua hadi useme kahaba? Lazima ukubali wewe jamaa una maneno machafu na matusi na matusi yako kila wakati lazima uwahusishe wazazi! KUna maana gani ubishi wa JF unafikia kuwaingiza hadi mama zetu waliopo njiani?? Ni mara ngapi wewe ulishawahi kunitukana, tena mara zote matusi yako ukimuhusisha mama angu mzazi na mara kibao nikakuonya hadi pale niliposema enough is enough? Na kwa kuthibitisha hilo, ndo hapo data amemzungumzia kiba lakini kinyume chake unasema itakuwa amelala na mama ake? Hivi huwezi kujenga hoja bila matusi? Na kama umezoea matusi, huwezi kutukana bila kuhusisha mama za wenzako?
Mimi nilipewa ban coz' nilishasema enough is enough lakini watu dizaini yako ni wazuri sana katika matusi lakini watu wakisha-react back mnakilmbilia ku-report! Good enough, wengine wala hatusumbuliwi na ban hata kama zinakuwa life ban!
anhaa basi sawa but ni better uka muendea pm,sisi wengine tuna uchungu sana na hawa mama zetu so ninapo ona tusi lina mlenga mama hata kama si wangu huwa napata uchungu flani hivi.
otherwise nime kusoma it z some kind of revenge!
Huyo mie nimeshampotezea sema sie wengine tunapotukaniwa mama zetu huwa tunashindwa ustahimilivu... inauma na kukera kuona mama ambae hata huyo Kiba au Diamond wala JF havifahamu lakini bado anatukanwa bila kosa lolote!yaishe mkuu yamalizeni kiume hope mtaelewana tu!
Mkuu ningeweza kuandika tusi alilonitukana huyo data ungenambia mimi pole na yeye ungemuambia koma..
Mkuu umenifurahisha kwa hii comment yako. Wadada wa jf achana nao banah. We mwenyewe unawajua. Wanapenda mabwana, ndiyo maana wanajilengesha.
Nilikutukana PM kwavile mie nisingeweza kukutukana hadharani kama ambavyo ulifanya wewe... ingawaje nilikuambia mambo ya kawaida kabisa, nini kilifuata kama hukusema mie ni shoga niliezaliwa na mama kahaba? Wewe mama angu unamjua hadi useme kahaba? Lazima ukubali wewe jamaa una maneno machafu na matusi na matusi yako kila wakati lazima uwahusishe wazazi! KUna maana gani ubishi wa JF unafikia kuwaingiza hadi mama zetu waliopo njiani?? Ni mara ngapi wewe ulishawahi kunitukana, tena mara zote matusi yako ukimuhusisha mama angu mzazi na mara kibao nikakuonya hadi pale niliposema enough is enough? Na kwa kuthibitisha hilo, ndo hapo data amemzungumzia kiba lakini kinyume chake unasema itakuwa amelala na mama ake? Hivi huwezi kujenga hoja bila matusi? Na kama umezoea matusi, huwezi kutukana bila kuhusisha mama za wenzako?
Mimi nilipewa ban coz' nilishasema enough is enough lakini watu dizaini yako ni wazuri sana katika matusi lakini watu wakisha-react back mnakilmbilia ku-report! Good enough, wengine wala hatusumbuliwi na ban hata kama zinakuwa life ban!
Sijakuita ndugu yangu... tujuzane tu kwamba, kuna sababu mbali mbali za kum-mention mtu! Moja ni hiyo kwamba unataka maoni yake lakini nyingine, na kubwa zaidi ni kutomtaja au kumjadili mtu behind his/her back!Mkuu umeniitia nini ktk comment hii ngumu?