Nakubaliana na Marekani na NATO kuvamia nchi mbalimbali duniani

Nakubaliana na Marekani na NATO kuvamia nchi mbalimbali duniani

Unafahamu nini kuhusiana na WARSAW PACT, Bay of Pigs Invasion na Germany Re-unification?
Naanza na WARSAW huu ni umoja wa kujilinda wa kisoviety dhidi ya western block(NATO) au capitalist states na hii ilikufa au ilishindwa baada ya anguko la USSR 1991.

kwa hiyo baada ya anguko hilo nchi za east Europe zikaanza kuachana na WARSAW na kuamua kujiunga na NATO baadhi ni kama Poland, Ruthenia, Astonia nk.

Kennedy alikataa zile missile kule Cuba kwa sababu ndo kipindi kile kulikuwa na strong blocks tofauti na sasa ,unaamini kipindi kile ilikuwa ni marufuku kuingiliana kwa kila nyanja,pia hata kama wanajilinda dhidi ya umagharibi, niulize olegach wa Moscow wanakujaje wakati hii ni nchi ya kisosholist.

Na mambo ya German Unification yaliisha baada ya kuanguka kwa ukuta wa Berlin na German ikiwa moja inayoamini ubepari

Mkuu nimejitahidi au bado
 
“This is not Russia’s war. This is a military crime by an unelected, unaccountable, authoritarian, and frankly increasingly deranged dictator.”
Mawazo yako hayana tofauti na mawazo ya cutelove

Ulichokifanya umetoa mawazo yako hujajibu swali. Narudia tena: Unafahamu nini kuhusiana na WARSAW PACT, Bay of Pigs Invasion na Germany Re-unification?
 
Ewe mwanamke, nenda kanyonyeshe una mdhalilisha mumeo kwa kuandika ujinga humu jukwaani.
Aibu naona mimi Jf kuwa na uzi wa kiboya namna hii hakuna fact za kueleweka kwenye uzi kama huu umeandikwa kama mtu anaandika thread ya Chitchat.
 
Kwa nini JFk alikataa URUSI isiweke zana zake za maangamizi CUBA?. Kwa nini Rusia ilikataliwa isijiunge NATO?. ukijibu hayo utafahamu kwa nini PUTINI anaitandika UKREIN.
Kuna nuclear missiles za NATO zipo Ukraine,kwa nini asiishambulie Poland au Ballistic States yoyote tofauti na Ukraine? Hapo ndo tungejua anajilinda lakini umoja wa wananchi wa Ukraine wanao uonyesha na pia warus wenyewe Moscow wanapinga kwa maandamano ,huoni putini hayupo sahihi?
 
Kuna nuclear missiles za NATO zipo Ukraine,kwa nini asiishambulie Poland au Ballistic States yoyote tofauti na Ukraine? Hapo ndo tungejua anajilinda lakini umoja wa wananchi wa Ukraine wanao uonyesha na pia warus wenyewe Moscow wanapinga kwa maandamano ,huoni putini hayupo sahihi?
Jibu masuali acha kuluka luka.
 
Kukariri kubaya sana....
Ujamaa ni tool ya kuendeleza udiktator,sasa jiulize nchi ya kijamaa matajili wanakuwepo ,huo ni ujamaa au ubepari,Huyo mmiliki wa Chelsea ni mbepari au mjamaa na ni rafiki wa karibu wa Putin ,tuseme ukwel ujamaa ulishapita na wakati ,hata chini penyewe haupo ,ujamaa ni slaha ya kuibuka madikteta na watu hatari duniani wasio ogopa binadamu
 
Nakumbusha kwamba Crimea ilikuwa Ukraine kule wakaamza harakati za kujitenga na majimbo mawili aliyochukua majuzi Russia.

Nakutaka tena nenda youtube nafikiri inakuwepo taarifa ya habari ya leo asbh ambayo imetokewa na BBC wakiwahoji wale watalii waliokwama Zanzibar hapo utawasikia wamesema nini juu ya Rais wao wasasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Crimea tangu 2014 lipo chini ya Urus ,sasa unaposema Rais wao ,Rais yupi?
 
Vijana siku hizi hawataki kusoma. Uchambuzi wao wanautoa kwa kuangalia BBC, CNN, FOX NEWS, SKY NEWS, MSNBC, DW-TV n.k

Akimaliza hapo anajiona amemaliza kila kitu na matokeo yake ndiyo kama haya anahalalisha yaliyofanywa na US na NATO. Ukiwaambia bado kuna picha unapaswa uione tena, jawabu lao ni msemo unaosema "umeandika porojo".
Uzuri wa NATO wapo wazi ,acha hawa majamaa madikteta yanayoficha kila kitu kwa wananchi
 
Wakati vita ikishika kasi kule Ukraine dhidi ya Putin ,nashangaa baadhi ya watu kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii wakimuunga mkono kuivamia Ukraine na inasikitisha sana badala ya kukemea...
Kwa kiasi kikubwa hujui propaganda nyuma ya pazia.

Si kwamba nawatetea hao RUSSIA..Lakini imekamatwa na west media.

Taarifa tunaanza kulishwa na BBC ,CNN, GOOGLE .nk

hawa ndio wamekamata uchumi wa Dunia. Ona nchi zulivyoungana kumsupport U.S....Unapingaje kila mahali amekamata.

Ni unafiki. Ona hiyo LIBYA ina hali ilivyo sasa...Nani ananyanyua mdomo kuilaumu U.S.leo ..hujipendi....Ni wachache duniani wanashindwa tu roho ya kinafiki..unaishia kuwa adui wa U.S.

Tunaishi dunia ya kimaslahi...kuwa na imani ya ubinadamu haipo.

Wauaji , waharibifu ndio hujiita watengenezaji.

Bush allingamiza Afangistan kwa silaha nzito...sio Australia, Japan, Canada, Poland, FIFA,. wala nani aliyekemea.

Alichoshinda U.S. ni kutengeneza uchumi mkubwa kisha friends ( company wa Dunia).

Ndio generation tuliyouishi na kushuhudia unafiki na maslahi... Labda kuna generation karne nyingi zijazo zitatest tofauti...but dunia kwa sasa imeinama upande huo.
Si support Russia Atacks , Lakini kuna Hidden factors nyingi nyuma yake.....tuiimbe nyimbo zao
 
Ujamaa ni tool ya kuendeleza udiktator,sasa jiulize nchi ya kijamaa matajili wanakuwepo ,huo ni ujamaa au ubepari,Huyo mmiliki wa Chelsea ni mbepari au mjamaa na ni rafiki wa karibu wa Putin ,tuseme ukwel ujamaa ulishapita na wakati ,hata chini penyewe haupo ,ujamaa ni slaha ya kuibuka madikteta na watu hatari duniani wasio ogopa binadamu
Duuuuh 😳😳😳🤣🤣🤣

Ujamaa si UKOMUNISTI....

Hata hizo nchi za kibepari....uongozi ni wa walewale(few and selected group) ambao wanaendeshwa na WAFANYABIASHARA WAKUBWA (wengi wakiwa wakwepa kodi nguli).....

Hakuna nchi isiyoshiriki shughuli za kiuchumi......

Urusi walichagua njia ya kutoa fedha zao kuwapa "OLIGARCHS" wawavushe kutoka mfumo mbovu wa kiuchumi baada ya kusambaratika kwa UMOJA WA KISOVIETI WA URUSI....mabwana hao waliwekeza ndani na huko magharibi......

Hivi hujui kuwa nchi za magharibi/ubepari nazo zinaongoza kuwapa fedha MATAJIRI/kuwafutia kodi/kuwapunguzia kodi MATAJIRI?!!!
Rejea sababu za "2008 US ECONOMIC CRISIS/RECESSION" nchini marekani.....

#Siempre JMT🙏
 
Uzuri wa NATO wapo wazi ,acha hawa majamaa madikteta yanayoficha kila kitu kwa wananchi
Uwazi wao kwa faida ya nani ?!!

Wewe?!!

Raia wa kawaida huko ULAYA?!!

NATO wameshirikiana kuiharibu LIBYA ...pamoja na matatizo ya Ghaddafi ,hivi ulimsikiliza Obama akikiri makosa waliyoyafanya kwa wananchi wa Libya kwa ile suluhu waliyoichukua(NO FLY ZONE)?!!!
 
Kwa kiasi kikubwa hujui propaganda nyuma ya pazia..
Si kwamba nawatetea hao RUSSIA..Lakini imekamatwa na west media...
Taarifa tunaanza kulishwa na BBC ,CNN, GOOGLE .nk
hawa ndio wamekamata uchumi wa Dunia. Ona nchi zulivyoungana kumsupport U.S....Unapingaje kila mahali amekamata.
Ni unafiki. Ona hiyo LIBYA ina hali ilivyo sasa...Nani ananyanyua mdomo kuilaumu U.S.leo ..hujipendi....Ni wachache duniani wanashindwa tu roho ya kinafiki..unaishia kuwa adui wa U.S.....
Tunaishi dunia ya kimaslahi...kuwa na imani ya ubinadamu haipo..
Wauaji , waharibifu ndio hujiita watengenezaji.....
Bush allingamiza Afangistan kwa silaha nzito...sio Australia, Japan, Canada, Poland, FIFA,. wala nani aliyekemea...
Alichoshinda U.S. ni kutengeneza uchumi mkubwa kisha friends ( company wa Dunia.. )...
Ndio generation tuliyouishi na kushuhudia unafiki na maslahi... Labda kuna generation karne nyingi zijazo zitatest tofauti...but dunia kwa sasa imeinama upande huo.
Si support Russia Atacks , Lakini kuna Hidden factors nyingi nyuma yake.....tuiimbe nyimbo zao
Majibu yako hapo

Arab springs wakati inashika kasi kuwaondoa madikteta wa kiarabu ,Ghadafi aliwaitaje maandamano ya Benghazi ( cockroaches ) yaani wanao andamana kumpinga utawala wake ni mende na kwa lugha rahisi wauwawe,kweli Dunia ingepiga makofi kwa Ghadafi?

Pili ,USA alikuwa hana shida na Afghanistan lakini ugaidi wa Osama uliopelekea maangamizi ya September 21 kule USA ,wew ulidhani USA angefurahi kwa kufanyiwa vitendo vya kigaidi

Marekani anakupiga akiwa na sababu ya msingi
 
Majibu yako hapo

Arab springs wakati inashika kasi kuwaondoa madikteta wa kiarabu ,Ghadafi aliwaitaje maandamano ya Benghazi ( cockroaches ) yaani wanao andamana kumpinga utawala wake ni mende na kwa lugha rahisi wauwawe,kweli Dunia ingepiga makofi kwa Ghadafi?

Pili ,USA alikuwa hana shida na Afghanistan lakini ugaidi wa Osama uliopelekea maangamizi ya September 21 kule USA ,wew ulidhani USA angefurahi kwa kufanyiwa vitendo vya kigaidi

Marekani anakupiga akiwa na sababu ya msingi
😳😳🤣🤣🤣

Endelea kuyatafuta maarifa.....

#Siempre JMT🙏
 
Muanzisha mada, natakuuliza swali. Mara ya mwisho kufanya sex ni lini!?
 
Duuuuh [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ujamaa si UKOMUNISTI....

Hata hizo nchi za kibepari....uongozi ni wa walewale(few and selected group) ambao wanaendeshwa na WAFANYABIASHARA WAKUBWA (wengi wakiwa wakwepa kodi nguli).....

Hakuna nchi isiyoshiriki shughuli za kiuchumi......

Urusi walichagua njia ya kutoa fedha zao kuwapa "OLIGARCHS" wawavushe kutoka mfumo mbovu wa kiuchumi baada ya kusambaratika kwa UMOJA WA KISOVIETI WA URUSI....mabwana hao waliwekeza ndani na huko magharibi......

Hivi hujui kuwa nchi za magharibi/ubepari nazo zinaongoza kuwapa fedha MATAJIRI/kuwafutia kodi/kuwapunguzia kodi MATAJIRI?!!!
Rejea sababu za "2008 US ECONOMIC CRISIS/RECESSION" nchini marekani.....

#Siempre JMT[emoji120]
Communalism na socialism misingi mikuu ni jamii kumiliki mali na uzalishaji ,tangu la saba unafundishwa hiyo ,kwa hiyo communalism ni socialism iliyoadvanciwa ila msingi mkuu ni jamii kumiliki njia za uzalishaji

Kwa hiyo hao Oligarchy ni mabepari mapya ndani ya ukominist ,baada ya ujamaa huo kushindwa kote duniani
 
Mjomba unajisumbua bure watanzania under 30 baadhi ya wengi wao awajielewi wanataka nini awataki nini hata ukiwashikia fimbo ni vichwa ngumu
Kizazi cha mwalimu Nyerere ,kizazi cha mwinyi na kizazi cha mkapa ndio vizazi bora katika taifa hili .eti lijitu linashadidia vita unajiuliza ili lijitu kweli Lina akili kweli
Mjomba ni bora ukae kimya tu usome upuuzi wao alafu ufanye yako ya maana
Watanzania awajielewi wanastress za maisha wamevurugwa awajielewi pu MBA vU watanzania wote wanaoisapoti urusi
 
Communalism na socialism misingi mikuu ni jamii kumiliki mali na uzalishaji ,tangu la saba unafundishwa hiyo ,kwa hiyo communalism ni socialism iliyoadvanciwa ila msingi mkuu ni jamii kumiliki njia za uzalishaji

Kwa hiyo hao Oligarchy ni mabepari mapya ndani ya ukominist ,baada ya ujamaa huo kushindwa kote duniani
😳😳😳😳
Kwa hiyo kwako wewe COMMUNALISM ni sawa na COMMUNISM?!!!
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Kwa hiyo kwako wewe COMMUNALISM ni sawa na COMMUNISM?!!!
Communism all property are owned by the community ,Oxford dict

Tunarudi mule mule mali za jamii.
 
Back
Top Bottom