Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
cutelove upo sahihi kwa kiasi fulani, lakini sio 100% ila hawa wanaokujiu hawajibu hoja wanaishia kukutukana na kukuuliza maswali badala ya kukosoa hoja yako moja kwa moja
Ni kweli kuwa vamizi za Marekani za hivi karibuni, mfano Libya, Ghaddaffi alikuwa kwanza na bifu ya muda mrefu na mataifa ya magahribi, alikuwa akifadhili magaidi waliolipua viwanja vya ndege pamoja na majengi ya ubalozi njchi za Ulaya na aliwahi kukoswa koswa kuuawa na hao NATO kwa mabomu miaka ya nyuma kabla ya maandamano ya kumtoa, hapo ndipo alipojirudi na kuanza kuwa karibu na nchi za Ulaya, lakini wananchi wengi walipokuwa wanaanandaamana kumtoa alikuwa akiwapiga mabomu na kuapa hatatoka madarakani, hili sio propaganda sababu hata media za kiarabu na kichina zote zilikuwa zikiripoti watu kuuawa kwa mabomu
Taliban na Afghanistan hawa waliichokoza marekani wenyewe kwa kipindi kirefu kwa madai ya kiongozi wao Osama bin Laden kuwa Marekani na Ulaya ni kitovu cha uovu ambao ni kinyume na dini ya Kiislam, huyu ilikuwa ni haki yake pia
Syria, Syria nae ilikuwa ni case kama ya Libya tu, maandamano kisha wananchi wakaanza kuuawa, jeshi likagawanyika, wakataka kumpindua Assad, Russia akaingilia kati kumsaidia Assad kuuawa wananchi, ndipo Marekani nae akaingilia
Saddam Hussein huyu ndio kidogo inaweza kuwa walimuonea kwa sababu walisema alikuwa na silaha za maangamizi lakini hawakumkuta nazo, lakini Saddam pia alikuwa na madhambi mengi na bifu klubwa na nchi za Magahrib, ikiwamo kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wakurdi na kuivamia Quwait na kusababisha vita ya Ghuba
ila sio kweli kwamba Marekani anakuwa motivated na sababu nzuri, Marekani nae ana maslahi yake binafsi na kuna nchi nyingi za kidikteta anaziunga mkono akiona zinalinda maslahi yake na amekuwa akiangusha hata Serikali za kidemokrasia kabisa, sema ngoja nikomee hapa
Ni kweli kuwa vamizi za Marekani za hivi karibuni, mfano Libya, Ghaddaffi alikuwa kwanza na bifu ya muda mrefu na mataifa ya magahribi, alikuwa akifadhili magaidi waliolipua viwanja vya ndege pamoja na majengi ya ubalozi njchi za Ulaya na aliwahi kukoswa koswa kuuawa na hao NATO kwa mabomu miaka ya nyuma kabla ya maandamano ya kumtoa, hapo ndipo alipojirudi na kuanza kuwa karibu na nchi za Ulaya, lakini wananchi wengi walipokuwa wanaanandaamana kumtoa alikuwa akiwapiga mabomu na kuapa hatatoka madarakani, hili sio propaganda sababu hata media za kiarabu na kichina zote zilikuwa zikiripoti watu kuuawa kwa mabomu
Taliban na Afghanistan hawa waliichokoza marekani wenyewe kwa kipindi kirefu kwa madai ya kiongozi wao Osama bin Laden kuwa Marekani na Ulaya ni kitovu cha uovu ambao ni kinyume na dini ya Kiislam, huyu ilikuwa ni haki yake pia
Syria, Syria nae ilikuwa ni case kama ya Libya tu, maandamano kisha wananchi wakaanza kuuawa, jeshi likagawanyika, wakataka kumpindua Assad, Russia akaingilia kati kumsaidia Assad kuuawa wananchi, ndipo Marekani nae akaingilia
Saddam Hussein huyu ndio kidogo inaweza kuwa walimuonea kwa sababu walisema alikuwa na silaha za maangamizi lakini hawakumkuta nazo, lakini Saddam pia alikuwa na madhambi mengi na bifu klubwa na nchi za Magahrib, ikiwamo kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wakurdi na kuivamia Quwait na kusababisha vita ya Ghuba
ila sio kweli kwamba Marekani anakuwa motivated na sababu nzuri, Marekani nae ana maslahi yake binafsi na kuna nchi nyingi za kidikteta anaziunga mkono akiona zinalinda maslahi yake na amekuwa akiangusha hata Serikali za kidemokrasia kabisa, sema ngoja nikomee hapa