Nakubaliana na mchungaji Msigwa kuwa level of thinking Tanzania imeshuka

Nakubaliana na mchungaji Msigwa kuwa level of thinking Tanzania imeshuka

Binafsi naungana na Msigwa kwasababu moja kubwa: Watanzania wa leo hii sehemu kubwa ya mijadala yetu mitandaoni ni kujadili matukio, maandiko na kauli au matamshi ya watu maarufu (wanasiasa, wasanii, n.k)yanayopatikana mitandaoni na kwenye vyombo vya habari na sio kujadili au kubuni mambo yanaweza kuleta suluhu ya matatizo yetu kama nchi.
Anza na wewe kujirekebisha kwanza. Hii sababu umejielezea wewe mwenyewe ulivyo. Umekuja kujadili kauli ya Msigwa hapa. Njoo na kitu tofauti cha kwako sio hadi Msigwa atamke.
 
YouTube walianzisha YouTube za nchi kujiongezea mapato mfano wewe ukiingia youtube unaingia YouTube ya Tanzania ambayo Tanzania ndie mumililiki na mlipa fees YouTube Tanzania kupeleka YouTube head office ndie owner
Za nje owner ni nchi nyingine e.g. YouTube Kenya huwezi taka TCRA iingilie youtube Kenya au zimbabw nk
Kilaza wa karne
 
Kuna clip iko kwenye mitandao ikionyesha mahojiano aliyofanyiwa mchungu Msigwa na Darmpya tv, ambapo mchungaji Msigwa anasikika akiongelea swala la critical thinking.

Msigwa anasikika akisema, wakati wa Mwalimu, vijana wa chuo kikuu walikuwa na uhuru wa kusema chochote wawapo maeneo ya chuo na walikuwa na kinga ila kinga hiyo ilikuja ondolewa enzi za Mwinyi baada ya wanafunzi wa chuo kikuu wakati huo kumkosoa mzee Mwinyi.

Kwa maelezo yake, Msigwa anasema Mwalimu aliruhusu mijadala vyuo vikuu na kwamba vyuoni ni sehemu ambapo watu wana-think critically tofauti na sasa ambapo wanafunzi wa vyuo vikuu hawawezi hata kuuuliza maswali ya how,why, n.k.

Msigwa amesema wanafunzi hawa sio wa kulaumiwa kwani hata walimu wao nao hawa-think critically huku akitaja kutishwa kuwa ni moja ya sababu ya walimu wao kuwa hivyo.

Msigwa anahoji kama ma-proffesor wetu wanaka chini na kuumiza vichwa kuhusu hatima ya Tanzania yetu kiuchumi, n.k katika miaka 30 ijayo huku akitoltea mfano wa nchi kama Israel ambayo inauza "brain" duniani na wamarekani wanaowaza nishati mbadala ya mafuta kwa miaka 30 ijayo.

Kwa mfano, Msigwa anahoji tumejiandaa vipi kuacha kuitegema bandari kama chanzo cha mapato ikitokea miaka ya mbeleni zinabuniwa ndege kubwa zinazoweza kubeba mizigo mikubwa na kwa gharama nafuu kutokana na kukua kwa teknolojia akitolea mfano wa wamarekani wanaowaza/wanaobuni nishati mbadala ya mafuta ikitokea mafuta yanatoweka duniani.

Msigwa kaongea mengi yanayoeleza ni jinsi gani watanzania wa leo hatuwazi critically.

Binafsi naungana na Msigwa kwasababu moja kubwa: Watanzania wa leo hii sehemu kubwa ya mijadala yetu mitandaoni ni kujadili matukio, maandiko na kauli au matamshi ya watu maarufu (wanasiasa, wasanii, n.k)yanayopatikana mitandaoni na kwenye vyombo vya habari na sio kujadili au kubuni mambo yanaweza kuleta suluhu ya matatizo yetu kama nchi.

Kwa maneno mengine,tunatumua muda mwingi au niseme interest zetu ni kulalamikia matatizo tuliyonayo huku tukitumia muda mchache kuandika, kujadili na kupendekeza solution za matatizo yetu, tunasahau matukio yanakuja na kupita, wakati matatizo yetu yako pale pale huku watawala nao wakiwa hawana solution ya baadhi ya matatizo tuliyonayo.

Kama anavyosema Msigwa, kwa sasa hatuna mijadala sababu mojawapo likiwa ni uoga lakini pia kwa sasa level yetu ya ku-think critically imeshuka.

Kwenye mitandao kwa sasa, mtu aki- post habari kuhusu tukio fulani au kauli ya mwanasiasa fulani, watu wanakuwa interested sana kujadili ila mtu akija na idea kuhusu namna gani tunaweza kutatua tatizo fulani katika jamii na nchi kwa ujumla, mijadala huwa ni ya kiwango cha chini sana(wa kukosoa na kuungana mkono ni wachache mno).

Kwa mfano, hivi sasa watanzania tunatakiwa tuwe na mjadala utakaosaidia kupatikana kwa vyanzo vipya vya mapato, ila hilo alipo, badala yake tunalalamika kukamuliwa kodi huku TRA nao wakiwa wameishiwa ubunifu wa kupata vyanzo vipya vya mapato na matokeo sasa wanatuhumiwa kutoza kodi kubwa inayoua mitaji ya wafanyabiashara(hakuna mwenye solution juu ya vyanzo vipya vya mapato badala yake wote tunalalamika!)

Mimi naamini vyanzo vya mapato nchi bado viko vingi tu, tatizo ni watu kushindwa kukaa chini na kuumiza vichwa ikiwa ni pamoja na kushirikishi wananchi na wataalumu katika mijadala ya pamoja yenye lengo la kubuni vyanzo vipya vya mapato.

Hata mnapoona wasomi na wanaoitwa wataalamu wanakimbilia kwenye siasa, mjue kweli level of thinking imeshuka, hivyo wanashindwa kutumia elimu zao kujiongezea vipato halafu mkabaki mnategemea watu wa aina hiyo ndio wawaletee maendeleo.Kama mnaamini hivyo, mjue tu huko ni kujidanganya mchana kweupe.

Watanzania tubadilike, dunia inatuacha nyuma.
We have to change first the social superstructure before improving the individual intellectual capital. Individual intellectualism grows and thrives under a conducive superstructure. Invite me for further clarification if needed.
 
Hoja ya Msigwa haina nguvu ok anasema kipindi cha Nyerere thinking ilikuwa kuwa sasa mbona uchumi ulikuwa chini?

Thinking kuwa kwa wenzetu iko private sector hawawezi tu solution kwa kujaza tu hali wanatafuta new business ventures

Msigwa mwenyewe na Chadema wenzie wana thinking kubwa ya kitu gani nje ya porojo za kisiasa?

Charity begins at home
Huna jema

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Tunawasubir Hao kina msigwa wataalam wa kufikir wafikirie kivip kina halima mdee na na wenzake kwa nn wataendelea kua wabunge na watabaki kua wanachama wa chadema!?
Ndio maana tumeambiwa level of thinking yetu ni ndogo hebu angali upuuzi ulioandika kuonyesha ulivyo boya.
 
Msigwa hana hadhi mbele ya watu makini
Alishawahi kukiri hadharani kusema uongo,ili tu kumchafua mtu
 
Mtu anajibatiza kabisa kuwa yeye ni mpinzani kwamba yeye kazi yake ni kupinga tu,sasa mtu kama huyo utajadiliana nae vp hoja zengine tofauti na zile za kulaumu na kutafuta mchawi?

Na kibaya hao ndio wako wengi humu na hivyo mada zenye kuwavutia ni ambazo zinawapa uwanja wa kukosoa tu na kulaumu,na bora wangekuwa wanakosoa yeyote kwa jambo lolote wanaloona halipo sahihi ila hali haipo hivyo ni kinyume chake.
Alafu watu wenyewe wanaojifanya wanajua kukosoa, angalia wanavyoburuzwa na wanavyoongoza ovyo ovyo chama chao!
 
Alafu watu wenyewe wanaojifanya wanajua kukosoa, angalia wanavyoburuzwa na wanavyoongoza ovyo ovyo chama chao!
Mtu anajiita mkosoaji ila anabagua wapi pa kukosoa na wapi pa kunyamaza kimya hata kama kuna makosa,sasa huko ni kukosoa kweli?
 
Mimi naona kwa sasa sisi wananchi wa kawaida tuitumie mitandao kuibua fursa, kuonyesha vyanzo vya mapato, kushauri ,n.k kwani tusitegemee hili Bunge la sasa kuja na mawazo kama hayo, na bahati mbaya wanasiasa wa upinzani hata wakitoa mawazo mazuri kasi gani ni vigumu kufanyiwa kazi kutokana na chuki ya kisiasa iliyopo hivyo ni bora sisi wananchi tukabeba jukumu hilo.

Kikwazo kingine ni serikali kutosikiliza ushauri hata kutoka kwa wana-CCM wenzao, mfano mtu kama Hussein Bashe alikuwa anatoa mawazo mazuri sana Bungeni ili serikali haiyafanyii kazi huku yenyewe ikiwa haina jipya/suluhisho la matatizo yetu ya kiuchumi, n.k.

Kwa mfano, ubunifu wa vyanzo vya mapato na fursa mpya za kiuchumi ni moja ya mambo ambayo naamini kabisa watunga sera wameshindwa kuyatimiza na badala yake ni kutozana makodi makubwa kutoka vyanzo almost vile vile vya miaka nenda miaka rudi.
Shida iliyopo ni kuamini kuwa Rais ndiyo mtu anaweza kuwaza sahihi kuliko watu 55M, hivyo huwezi kushauri chochote kikafanyiwa kazi sababu watawala wote wanaamini ni mtu mmoja tu ndiyo ana mawazo sahihi wengine wote ni wrong.
 
Kuna clip iko kwenye mitandao ikionyesha mahojiano aliyofanyiwa mchungu Msigwa na Darmpya tv, ambapo mchungaji Msigwa anasikika akiongelea swala la critical thinking.

Msigwa anasikika akisema, wakati wa Mwalimu, vijana wa chuo kikuu walikuwa na uhuru wa kusema chochote wawapo maeneo ya chuo na walikuwa na kinga ila kinga hiyo ilikuja ondolewa enzi za Mwinyi baada ya wanafunzi wa chuo kikuu wakati huo kumkosoa mzee Mwinyi.

Kwa maelezo yake, Msigwa anasema Mwalimu aliruhusu mijadala vyuo vikuu na kwamba vyuoni ni sehemu ambapo watu wana-think critically tofauti na sasa ambapo wanafunzi wa vyuo vikuu hawawezi hata kuuuliza maswali ya how,why, n.k.

Msigwa amesema wanafunzi hawa sio wa kulaumiwa kwani hata walimu wao nao hawa-think critically huku akitaja kutishwa kuwa ni moja ya sababu ya walimu wao kuwa hivyo.

Msigwa anahoji kama ma-proffesor wetu wanaka chini na kuumiza vichwa kuhusu hatima ya Tanzania yetu kiuchumi, n.k katika miaka 30 ijayo huku akitoltea mfano wa nchi kama Israel ambayo inauza "brain" duniani na wamarekani wanaowaza nishati mbadala ya mafuta kwa miaka 30 ijayo.

Kwa mfano, Msigwa anahoji tumejiandaa vipi kuacha kuitegema bandari kama chanzo cha mapato ikitokea miaka ya mbeleni zinabuniwa ndege kubwa zinazoweza kubeba mizigo mikubwa na kwa gharama nafuu kutokana na kukua kwa teknolojia akitolea mfano wa wamarekani wanaowaza/wanaobuni nishati mbadala ya mafuta ikitokea mafuta yanatoweka duniani.

Msigwa kaongea mengi yanayoeleza ni jinsi gani watanzania wa leo hatuwazi critically.

Binafsi naungana na Msigwa kwasababu moja kubwa: Watanzania wa leo hii sehemu kubwa ya mijadala yetu mitandaoni ni kujadili matukio, maandiko na kauli au matamshi ya watu maarufu (wanasiasa, wasanii, n.k)yanayopatikana mitandaoni na kwenye vyombo vya habari na sio kujadili au kubuni mambo yanaweza kuleta suluhu ya matatizo yetu kama nchi.

Kwa maneno mengine,tunatumua muda mwingi au niseme interest zetu ni kulalamikia matatizo tuliyonayo huku tukitumia muda mchache kuandika, kujadili na kupendekeza solution za matatizo yetu, tunasahau matukio yanakuja na kupita, wakati matatizo yetu yako pale pale huku watawala nao wakiwa hawana solution ya baadhi ya matatizo tuliyonayo.

Kama anavyosema Msigwa, kwa sasa hatuna mijadala sababu mojawapo likiwa ni uoga lakini pia kwa sasa level yetu ya ku-think critically imeshuka.

Kwenye mitandao kwa sasa, mtu aki- post habari kuhusu tukio fulani au kauli ya mwanasiasa fulani, watu wanakuwa interested sana kujadili ila mtu akija na idea kuhusu namna gani tunaweza kutatua tatizo fulani katika jamii na nchi kwa ujumla, mijadala huwa ni ya kiwango cha chini sana(wa kukosoa na kuungana mkono ni wachache mno).

Kwa mfano, hivi sasa watanzania tunatakiwa tuwe na mjadala utakaosaidia kupatikana kwa vyanzo vipya vya mapato, ila hilo alipo, badala yake tunalalamika kukamuliwa kodi huku TRA nao wakiwa wameishiwa ubunifu wa kupata vyanzo vipya vya mapato na matokeo sasa wanatuhumiwa kutoza kodi kubwa inayoua mitaji ya wafanyabiashara(hakuna mwenye solution juu ya vyanzo vipya vya mapato badala yake wote tunalalamika!)

Mimi naamini vyanzo vya mapato nchi bado viko vingi tu, tatizo ni watu kushindwa kukaa chini na kuumiza vichwa ikiwa ni pamoja na kushirikishi wananchi na wataalumu katika mijadala ya pamoja yenye lengo la kubuni vyanzo vipya vya mapato.

Hata mnapoona wasomi na wanaoitwa wataalamu wanakimbilia kwenye siasa, mjue kweli level of thinking imeshuka, hivyo wanashindwa kutumia elimu zao kujiongezea vipato halafu mkabaki mnategemea watu wa aina hiyo ndio wawaletee maendeleo.Kama mnaamini hivyo, mjue tu huko ni kujidanganya mchana kweupe.

Watanzania tubadilike, dunia inatuacha nyuma.
Wakati nsjiunga JF nilikua naipenda, sababu mijadala mingi, ilikua ya namna hiyo. Yenye tija na kufikirisha

Siku hizi sioni posts nyingi za namba hiyo. Imejaa Siasa na posts zenyewe hata kwenye hizo siasa hazina mantiki.

Ni porojo, Matusi ya rejareja na Kejeli
 
Kwa wenye kufikiria, na kupenda mijadala ya kufikirisha , rudisheni JF Ile

Posts za Kejeli, porojo zina jukwaa lake.

Huko fresh tu ku post chochote tuta like na kucomment.

Ila Kama mtu kaanzisha mjadala wa siasa au Jambo lolote lenye maana , halafu mtu akapost Kejeli au upuuzi mwingine, Ni vyema , kuto like au kuhamisha mjadala kujibi hiyo post.

Ili tuwe jamii yenye kujifikirisha .
 
Back
Top Bottom