Nakubaliana na Rais Magufuli. Hakuna haraka yoyote ya kuunda Baraza la Mawaziri. Prof. Kabudi na Dkt. Mpango wanatosha kwa sasa!

Nakubaliana na Rais Magufuli. Hakuna haraka yoyote ya kuunda Baraza la Mawaziri. Prof. Kabudi na Dkt. Mpango wanatosha kwa sasa!

Nakubaliana kabisa na Rais Magufuli kwamba kwa sasa wizara zisimamiwe na makatibu wakuu chini ya usimamizi wa Waziri mkuu mh Majaliwa.

Maswala ya ulinzi na usalama wa ndani yaendelee kusimamiwa na CDF Mabeyo na IGP Sirro wanaoripoti moja kwa moja kwa Amiri jeshi mkuu.

Mambo muhimu ya Fedha na Uchumi na yale ya mahusiano ya kimataifa tayari Mawaziri Dr Mpango na Prof Kabudi wameshaapishwa.

Nina hakika kwa 98% baada ya miezi 3 hadi 6 Rais Magufuli akiamua kuunda baraza la Mawaziri basi litakuwa dogo kama ilivyo kwenye rasimu ya Tume ya Warioba ya katiba mpya.

Tunaweza kuwa na mawaziri na manaibu waziri wasiozidi 20 kwa ujumla wao.

Maendeleo hayana vyama!
Nasikia ni kwa sababu hakuna hela na mawaziri wataongeza gharama ikabidi ateue hao ili kuona pesa inayoingia na nini watafanya kwenye diplomasia ili kupata ahueni na mwelekeo na Mpango ni wa kuzisaini. Ni tetesi za kitaa lakini
 
Amepata kigugumizi kuteua mawaziri na manaibu wake kwa sababu CCM wanataka ratio itumike kila mkoa upate waziri au naibu waziri mmoja. Sasa mkoa wa Geita una mawaziri watatu ambapo wanatakiwa waondolewe wabakie mmoja. Haijulikani ni yupi aondolewe na ni yupi abakie.
Acha uongo wewe, nani anataka na ni kikao gani, ccm siyo kama chadema ile ni taasisi kamili, mambo hayaendeshwi kimajungumajungu. Umemsikia jana akisisitiza performance na siyo kugawana vyeo kwa ratio.Poor comment
 
Nasikia ni kwa sababu hakuna hela na mawaziri wataongeza gharama ikabidi ateue hao ili kuona pesa inayoingia na nini watafanya kwenye diplomasia ili kupata ahueni na mwelekeo na Mpango ni wa kuzisaini. Ni tetesi za kitaa lakini
Unasikia!!!!!!! yawezekana ni uongo so huhitaji kuleta majungu humu
 
Kabudi katia fora,kajikuta kasema "mheshimiwa Mungu",akajishtukia na kurekebisha na kusema mheshimiwa Rais!
Nidhamu ikipitiliza inakuwa uoga na si nidhamu tena!

Nways,baraza la mawaziri ni muhimu liwahi kupatikana haraka iwezekanavyo!Tatizo Rais hawaamini watu wanaomsaidia kufanya vetting!
hata kama ingawa sikusikia.inafahamika mtu unaweza kuteleza.kisa kipo katika al hadith."kulitokea zama fulan msafir mmoja alikua jangwan sasa katika safar na ugumu wa jangwa alifika.mahali akapumzika, akapitiwa na usingiz,ulivompitia kuja kuamka akakuta mnyama wake hayupo na ndio tegemez wake maaana alikua kabeba kila.kitu chakula,maji kila kitu cha kumfaa.alijawa na huzun sana akawa anatembea tu na kwenda sasa bila kuwa nachochote.kaenda sana mwishoe mbele kabisa baada ya masiku kadhaa akamkuta mnyama wake Na kila kitu,kwa ile furaha akasema ee mwenyezimung mim ndio mola wako na wewe mja wang.kwa furaha.lakin hakuwa na.kosa n8 kupitiwa na maneno na furaha.'
uache wivu wewe kama hukupata nafas maishan mwako kaa ushukuluu baah.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana kabisa na Rais Magufuli kwamba kwa sasa wizara zisimamiwe na makatibu wakuu chini ya usimamizi wa Waziri mkuu mh Majaliwa.

Maswala ya ulinzi na usalama wa ndani yaendelee kusimamiwa na CDF Mabeyo na IGP Sirro wanaoripoti moja kwa moja kwa Amiri jeshi mkuu.

Mambo muhimu ya Fedha na Uchumi na yale ya mahusiano ya kimataifa tayari Mawaziri Dr Mpango na Prof Kabudi wameshaapishwa.

Nina hakika kwa 98% baada ya miezi 3 hadi 6 Rais Magufuli akiamua kuunda baraza la Mawaziri basi litakuwa dogo kama ilivyo kwenye rasimu ya Tume ya Warioba ya katiba mpya.

Tunaweza kuwa na mawaziri na manaibu waziri wasiozidi 20 kwa ujumla wao.

Maendeleo hayana vyama!

Kwani wewe huyu bwana hata akijitangaza kuwa kawaida IGP si utakubaliana naye tu alimradi mkono uende kinywani?
 
hata kama ingawa sikusikia.inafahamika mtu unaweza kuteleza.kisa kipo katika al hadith."kulitokea zama fulan msafir mmoja alikua jangwan sasa katika safar na ugumu wa jangwa alifika.mahali akapumzika, akapitiwa na usingiz,ulivompitia kuja kuamka akakuta mnyama wake hayupo na ndio tegemez wake maaana alikua kabeba kila.kitu chakula,maji kila kitu cha kumfaa.alijawa na huzun sana akawa anatembea tu na kwenda sasa bila kuwa nachochote.kaenda sana mwishoe mbele kabisa baada ya masiku kadhaa akamkuta mnyama wake Na kila kitu,kwa ile furaha akasema ee mwenyezimung mim ndio mola wako na wewe mja wang.kwa furaha.lakin hakuwa na.kosa n8 kupitiwa na maneno na furaha.'
uache wivu wewe kama hukupata nafas maishan mwako kaa ushukuluu baah.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yote ya nini?Mimi nimesema nidhamu ya uoga umemfanya ajisahau na kusema "muheshimiwa Mungu"!
Hayo mengine ya kwako!
 
Kuna kitu usichokubaliana naye? Naona unajichanganya tu mara rasimu ya Warioba na mliitupa kapuni, mara baraza litakuwa dogo <20, mara baada ya miezi 3-6. Wewe na mzee wako jiwe wote mmekutana akili moja.
Bwashee, kwani kuna tatizo hapo. Subiri serikali itengeneze mifumo imara maana mawaziri wengine huwa ni kivuruge tuu, hawana jipya. Nakiwatumia hao wachawi wao ndiyo wanawaona watumishi wenye professional zao kama magarasa tuu. Hawashauriki pumba kabisa. Acha mh rais apige kazi kwa miezi sita tuone kwanza, atengeneze misingi yeye na KM wa wizara husika ili hao vivuruge wakija washindwe kuvuruga.
 
Bwashee, kwani kuna tatizo hapo. Subiri serikali itengeneze mifumo imara maana mawaziri wengine huwa ni kivuruge tuu, hawana jipya. Nakiwatumia hao wachawi wao ndiyo wanawaona watumishi wenye professional zao kama magarasa tuu. Hawashauriki pumba kabisa. Acha mh rais apige kazi kwa miezi sita tuone kwanza, atengeneze misingi yeye na KM wa wizara husika ili hao vivuruge wakija washindwe kuvuruga.
Mkuu, uko serious kweli? kwani atakaowachagua kwenye baraza anawatoa sayari nyingine? Mbona wanafahamika tangu wanapitishwa na vikao vya chama kuwa wagombea ubunge? kama anataka nje ya hao si ana nafasi 10 za kuteua wabunge? Mnacheza kweli na nchi hii, yaani kama vile mtu anaongoza familia yake anavyotaka. Najua soon atateua.
 
Niliona Wagombea wetu wa Urais wa Dada walitaka kutwangana na TBC akashikilia Camera hapo hapo
 
Nakubaliana kabisa na Rais Magufuli kwamba kwa sasa wizara zisimamiwe na makatibu wakuu chini ya usimamizi wa Waziri mkuu mh Majaliwa.

Maswala ya ulinzi na usalama wa ndani yaendelee kusimamiwa na CDF Mabeyo na IGP Sirro wanaoripoti moja kwa moja kwa Amiri jeshi mkuu.

Mambo muhimu ya Fedha na Uchumi na yale ya mahusiano ya kimataifa tayari Mawaziri Dr Mpango na Prof Kabudi wameshaapishwa.

Nina hakika kwa 98% baada ya miezi 3 hadi 6 Rais Magufuli akiamua kuunda baraza la Mawaziri basi litakuwa dogo kama ilivyo kwenye rasimu ya Tume ya Warioba ya katiba mpya.

Tunaweza kuwa na mawaziri na manaibu waziri wasiozidi 20 kwa ujumla wao.

Maendeleo hayana vyama!
Sema hayana chama, kwani vyama mmesha vikataa kwa kuamini vinawacheleweshea maendeleo.
 
Back
Top Bottom